Uchaguzi 2020 Mufindi: Mgombea Udiwani CHADEMA ajitoa, alaumu chama kukosa Sera na Ilani

Hawa vijana hupenda kuzungumza neno demokrasia lakini hawajui maana yake
Asabu gani utamshikisha na kwa sheria ipi? Hiyo ndo maana halisi ya demokrasia kama mnavyojiita au ulidhani neno demokrasia tafsiri yake ni ipi?
 
Ndugu zangu,

Habari ndio hii..

View attachment 1557696
Inawezekana tume iliwaengua wengi kutoka upinzani kwa vitu vidogo vidogo kama hivi, "kinyang'anyilo". Lakini kwa kuwa barua hii ni yakujitoa haina mjadala imepita tu.

Ila CDM nanyi kuna vitu vingine sijui mnafikiria vipi? Yaani kwa uchaguzi huu mlimpa YUDA nafasi kubwa hivi?
Kuna majina mengine muwe mnayashtukia mapema.

Yaani 2015 mlituimbisha kwamba pombe mwisho baa, lakini kuna watu walipingana na mwl Nyerere kwamba ikulu ni mahali patakatifu, na nyie mnakuja kufanya hayo hayo yakumuamini YUDA?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…