Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waislam wanafurahisha sana ni wagumu kubadilika sisi wengine huku tunasema samehe mara sabini tunaenda mbali usihukumu mambo ya wanadamu kila mmoja ana haki yake,wengine tunasema kwani Mungu angekuwa hataki si angetenda mwenyewe kama Sodoma na gomola huku kiongozi tunaemtegemea anasimama kule Italy na kusema lgbtq nao wana haki zao sisi wengine tunaitikia hewala na mabusu motomoto kwenye sanamu la yule naamini mpaka fahamu zitukae sawa itakuwa tumechelewa kwa kuhangaishwa na dunia.
Acha ushoga kijana tunza tundu lakoKila mtu na utashi wake,shoga akiamua kutinduliwa nnya yake wewe kina kuuma nini,nadhani suala la m7 lipo kisiasa zaidi…Ug ina mattizo mengi ya msingi alipaswa aanze nayo ushoga sio tatizo halijawahi kua ttzo,huyo muft naye kakosa kazi apambane na mashoga waliopo oman.
Kila mtu na utashi wake,shoga akiamua kutinduliwa nnya yake wewe kina kuuma nini,nadhani suala la m7 lipo kisiasa zaidi…Ug ina mattizo mengi ya msingi alipaswa aanze nayo ushoga sio tatizo halijawahi kua ttzo,huyo muft naye kakosa kazi apambane na mashoga waliopo oman.
Hii mada ni appreciation Kwa museven au Mufti?
Jambo jema, nchi 53 za Africa zimekaa Kimya ila Mufti kaona vzr ampongeze Mu7Kwa Museven kupitia Mufti wa Oman
Jambo jema, nchi 53 za Africa zimekaa Kimya ila Mufti kaona vzr ampongeze Mu7
Hii ndiyo JF!
Uzi huu una saa nzima, kila anaye utazama anapita kama yule Falisayo kaona mtu aliye lala njiani bila msaada, kwa kuogopa eti akipinga atajinajisi kama M7!