Mufti ataka Waislamu kuwekeza katika elimu zaidi

Status
Not open for further replies.
Sasa mna masuper star kama shibori/shiboli wakamuuliza jina lako lipi sahihi akasema hajui maana shule hakwenda ila alikuwa anahudhuria madrasa! Kama mtu kapata 0 it means 0 kwa nini apewe marks zisizo zake? Hatujafikia sehemu ya kwamba ukiona jina tofauti kidini unamfanyia mtu vibaya, hatujafikia huko na haitakiwi tufike huko.
 
Sio kweli, tatizo ni mfumo ulioko katika shule zetu waislam hatuna waalimu wazuri hatuna organization structure nzuri na zinazokubalika na wengi na wengi wa viongozi wetu wa juu hawana elimu na upeo wa visualize na kufocus kwenye maendeleo. Mfano watu kama Shehe Yahaya unategemeanini zaidi ya elimu ya majini. Elimu ya majini itakupeleka wapi. Watu muhimu kama kina Iddi simba wagetumiwa vizuri mamba yangeenda vizuri. Angalia wasemaji wazuri wa waisalamu kama Shehe Ponda unategemea nini kwao watu kama hao. Ni vizuri kujipanga badala ya kuendelea kulalamika. Mbona waisilamu wachaga na wapare wanaelimu nzuri na wanafaulu kwa nini tatizo liwe zaidi uzaramoni bagamoyo na lindi jiulize kwanini?
 
lol, last time i checked your fellow islamist prof. Malima (deceased) alisema ati yeye ali-design mfumo wa nambari za mtihani kwa sababu wasilamu walikuwa wanakamuliwa kwene usahihishaji..sasa ni 'mkirisito' gani ame-undo 'uvumbuzi' wa prof. Malima?
 

Hili baraza la ajabu sana jirani yangu ni mkristo wamejisahau wamempa mwanae Division zero
 
we unaleta umbea.katoro islamic seminary mkoani kagera imekuwa shule ya6 kimkoa na 120 kitaifa.uonevu kwa sasa hakuna ulikuwepo enzi za nyerere
 
Kama hujui na hujui kama hujui basi wewe ni MPUMBAVU.
 
Modi tafadhali bana, siyo kila mtu aruhusiwe kuongea anachoona chochote kile, wengine wanabomoa badala ya kujenga.
Wakati sisi kama watanzania tukikuna vichwa kwa nini watoto wetu wanafanya vibaya mitihani naye huyu anakuja na kiroja.
MODI NAOMBA UMFUNGIE HUYU MTU. MAANA ANAPOTOSHA UMMA WA WATANZANIA.
 
Nina uhakika Bwanga anafanya jokes. Nina imani waliochangia so far wanafanya jokes pia ili kumuunga mkono Bwanga.
 
Kama hujui halafu hutaki kujua kama hujui basi MPUMBAVU wewe
 
What u know ni kwamba kwenye hii mitihan hawatumii jina bali namba ya mtihani,labda uniambie kuna mabadiliko......acheni uvivu wa kufikiri hizo dv 0 asilimia 30 kwa wakristo zimeenadaje kama kuna upendeleo?
 
Mtaishia ku whine badala ya kusoma kwa bidii na kuacha kukesha madrasa. Kwa mfano kuwa watoto wa rafiki yangu mwenye asili ya kiarabu pale tanga, wanae wako darasa la la 4, shule nzuri inaitwa aancincena sijui, na ni boarding kabvisa, lakini watoto hawajui hata kusoma baba, class 4. what do you expect? ila hawakosi kwenda madrasa na juzuu zote wamekariri. hao wakipata zero mtawalaumu wakristo? lalamikeni tu wakati wenzenu wanaqpeta, the only solution badilikeni!
 
wakati wenzenu wako kindergaten, baby clas na nursery.... nyie mpo madrasa then unategemea muwe sawa na wenzenu.
 
Umevuna bangi sababu ulipanda bangi wakulaumiwa ni wewe mwenyewe! usipo jitambua utakufa kafir na uzaliwe nguruwe na husda yako mwana;
sema inshaalah!
 
badala ya kupoteza muda kny kulalamika ni bora kujipanga,,
 
Kwani baraza la mitihani ndio wanasahihisha mitihani ya Form IV, VII au darasa la saba? Jamani si walimu tena wanachukua wa vyuo vya ualimu au walimu wa sekondari na wanakaaga sehemu itakayochaguliwa na Baraza la Mitihani? Au walimu wanaosahihisha ni wakristo tu? Au namba za mitihani huwa zina alama ya Wakristo au Waislam? Huu mdini mnaouanzisha ni mbaya sana!
 

wewe ni mkristo unayejifanya eti muislam! kimsingi hata wakristo wengi wametaga! kuna jirani yangu watoto wake wawili wamepiga zero wakati mdogo wangu amepiga one kali wote walikua shule moja ya serikali! wapo waislam waliofaulu wengi tuu hasa shule za serikali ambazo kanisa linazipiga vita wakijua ndio mkombozi kwa waislam!
 

aliyeanzisha thread hii ni mkristu mwenzako kwa hiyo mdini ni mkristo mwenzako!
 
Inashangaza sana........nashindwa kuwaelewa ndugu zangu waislam,inakuaje wanakataa simba sio kiongozi mku wa waislam wakati BAKWATA ni taasisi halali kwa waislamu na ndio kiongozi wao.Namuunga mkono Sheikh Simba kwani ameonesha upeo mkubwa wa kufikiria namna ya kujikomboa kuliko kulalamika mitaani na kusambaza maneno ya chuki.Jamani tubadilike..........
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…