MUFTI MKUU WA OMAN: Tunaipongeza Serikali ya Tanzania kwa hatua nzuri iliyochukua ya kupiga marufuku USHOGA

Status
Not open for further replies.
Hizi ni siasa. Hakuna siku Mkuu wa nchi ametoa kauli kupinga vikali mambo haya
Kuwa haungi mkono
Nakumbuka kipindi kile RC wa Dar alijaribu kukemea; to our surprise msemaji rasmi akasema huo ni msimamo wake na sio msimamo rasmi wa serikali! Ilishangaza sana! Sijui huyo Mufti kayatoa wapi hayo!
 
Inashangaza sana waasisi wa jambo lenyewe sasa wanajitokeza kupongeza...huko kwao wake zao wanamejifunika mwili mzima lakin moyoni wanasiri nzito sana juu ya kinachowapata.
 
Vikwazo gani serikali imewawekea mashoga nchini??

Hii nchi ni ya kinafki toka kitambo, kipindi cha vita baridi west unang'ata east unang'ata. Haya na hizi mambo za ushoga misikitini, makanisani na mikutano ya wanasiasa wanapinga vikali, wakiulizwa na watoa misaada wanasema nchini kila mtu yuko huru.

Wakamkataa Bashite katukatu kama hawamjui vile na kuahidi kufuata sheria za kimataifa vilivyo.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…