Mimi kwa jinsi nilivyo sikia kaongelea in General terms iwe kwa waislamu au kwa wakristo, kwamba no one of them should vote according to her/his religion.
Labda kama hiyo statement imechujwa/kukachuliwa.
Sasa ukitaka kwenda zaidi nani ni mlengwa inabidi uangalie ni akina nani walio kuwa wanaongelea watu wampigia kura mtu kufuatana na Dini yake? Is it Kakobe, TEC, CCt, kkkt, au baadhi ya misikiti au baadhi ya waumini nk.
lakini ukienda huko naona tutachafua hali ya hewa, madhali watu wameisha elewa somo, na kuona hali hii haita wafikisha popote, na hali hii pia inakiadhiri chama tawala na baadhi ya viongozi wake wasio wadini fulani? kikristo/kiislamu ndio maana imebidi kauli hii itoke.
aisee! shombo!
hivyo namuunga mkono ingwa wanachelewa chelewa saaana kutoa matamko kwa wakati kabla madhara haya jawa makubwa