Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
TUlia ndio utoe habariBakaywa inapenda kuufahamisha Jamii ya Waislam kuwa Mheshimiwa Mufiti wa Tanzania ameivunja kamati ya Mwezi iliyokuwepo na kuunda kamati Mpya na kuoongezea nguvu.
View attachment 2521549View attachment 2521550
Ndio kitu ganiBakaywa
Kutangaza Muandamo wa mwezi Ramadan, Shaban nkKazi za kamati ya mwezi ni zipi?
ndio unaunda kamati? Kutangaza tuKutangaza Muandamo wa mwezi Ramadan, Shaban nk
Nafasi hii naamini inaendana na yeye kuwa Shekh wa Mkoa wa Dsm. Kwa kuwa sasa si kiongozi huenda ashapoteza HD hukuuuuAlhad Mussa ameliwa kichwa bado kamati ya amani atapigwa chini pia