Geza Ulole JF-Expert Member Joined Oct 31, 2009 Posts 65,136 Reaction score 91,917 Mar 28, 2015 #1 source: Issa Michuzi blog MY TAKE Hadondoki mtu hapa ni mwendo wa kumdaka akiporomoka ngazi ni adui wa comrade :dance:!
source: Issa Michuzi blog MY TAKE Hadondoki mtu hapa ni mwendo wa kumdaka akiporomoka ngazi ni adui wa comrade :dance:!
Munguwatosha JF-Expert Member Joined Jan 6, 2011 Posts 601 Reaction score 328 Mar 29, 2015 #2 Chezea kazi usichezee mshahara. Naona wamejifunza hao
uhurumoja JF-Expert Member Joined Mar 2, 2014 Posts 9,616 Reaction score 22,521 Mar 29, 2015 #3 Hapana nadhani nao wamekubali kuwa mzee kachoka na kapoteza nguvu kwenye miguu ndio maana umakini huo ni wa kiugonjwa na Sio kiulinzi mda si mrefu ataanza kuwa na fimbo au kibaskeli.
Hapana nadhani nao wamekubali kuwa mzee kachoka na kapoteza nguvu kwenye miguu ndio maana umakini huo ni wa kiugonjwa na Sio kiulinzi mda si mrefu ataanza kuwa na fimbo au kibaskeli.
Evelyn Salt JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 70,916 Reaction score 141,437 Mar 29, 2015 #4 mzee kachoka ila ndo hataki kukubali hadi anasema tumuulize mke wake kama kachoka mmh...na hao mabody guard wamenzunguka kama nzi
mzee kachoka ila ndo hataki kukubali hadi anasema tumuulize mke wake kama kachoka mmh...na hao mabody guard wamenzunguka kama nzi
Radhia Sweety JF-Expert Member Joined Aug 10, 2011 Posts 4,433 Reaction score 1,771 Mar 29, 2015 #5 Munguwatosha said: Chezea kazi usichezee mshahara. Naona wamejifunza hao Click to expand... Nadhani ulitaka kuandika chezea mshahara usichezee kazi
Munguwatosha said: Chezea kazi usichezee mshahara. Naona wamejifunza hao Click to expand... Nadhani ulitaka kuandika chezea mshahara usichezee kazi