Konda wa bodaboda
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,981
- 4,170
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu na wewe utakuwa unauza unga, jisalimishe mwenyewe.Eti Konda wa bodaboda, si useme tu mkupua mikoba na simu ====
Hiyo message yaBabu siioni! na nahitaji sana
Bahati mbaya nimeiona leo[emoji13]
Mkuu na wewe utakuwa unauza unga, jisalimishe mwenyewe.
Ungeiona jana ingekuwaje?Bahati mbaya nimeiona leo[emoji13]
Nisingefanya niliyoyafanya janaUngeiona jana ingekuwaje?
Naona shughuli ilikuwa si ya kitoto[emoji4]Nisingefanya niliyoyafanya jana
Sijasema haya mimiNaona shughuli ilikuwa si ya kitoto[emoji4]
Umesema yapi?Sijasema haya mimi
Kwani hujaona?Umesema yapi?
Nimeona [emoji173]Kwani hujaona?
Ndiyo nauza unga wa mahindi, na ngano kibanda changu kiko Mbagala Kuu shuleni. Ndio hivyo najisalimisha kwenu wateja wangu wa zamani na wapya kama wewe ili mje mniunge mkono. Yaani kwa sasa bidhaa hii ya unga wa mahindi (sembe) siku hizi ina kata mtaji...yaani ela inarudi kwa mbinde.Mkuu na wewe utakuwa unauza unga, jisalimishe mwenyewe.