Ni mgomo mheshimiwa sio mugomo!
Sidhani ka utafanikiwa,udsm ya leo co ile ya akina mtatiro,hakuna solidarity kabisa,kila mtu anajiangalia kimpango wake.binafc j3 nina test na lazima niifanye.over
Watu wengine mnashangaza, ati unalaumu kwamba siku hizi hakuna solidarity na wakati huohuo unataka ukafanye test siku ya mgomo. Bora ungekaa kimya tu!!!
tunaanza na wewe
Du mbona sijasikia kitu,mimi nipo hapa hall 2 hapa chini napiga story wala hakuna kinachoendelea
Sidhani ka utafanikiwa,udsm ya leo co ile ya akina mtatiro,hakuna solidarity kabisa,kila mtu anajiangalia kimpango wake.binafc j3 nina test na lazima niifanye.over
kama siku zote ungekuwa na akili kama hzi,wala tusingekuwa against na wewe!!lakini 100 mkubwa,jali kilichokupeleka mkubwa.
Kama chuo kitaendeshwa bili ya sheria na taratibu sasa kwli kutasomeka hapo!!
Mbona wale wanaokuwa sponsored nje ya nchi mbona uwa-hawagomi???kwani hawa uwa-wanapewa boom on time??hacheni ushamba nyie,sasa kama wewe kweli mwana-mapinduzi usifanye hako ka-test!!tengeneza course work mkuu!!
bweegee kweli.