Muhamasishaji wa Simba Mwijaku

Muhamasishaji wa Simba Mwijaku

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Kwamba Mwijaku Ndio anaongea na Wachezaji anakuja Kuwaeleza Mashabiki Wa Makolo Fc?

Ila Mwijaku alitafuta sana Huu Uhamasishaji wa Team, alikuwa anajipendekeza Sana kwa Baba.

Screenshot_20211021-132401.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simba nao wapumbavu, haiwezekani kilaza kama huyu akawa mhamasishaji wa chama kubwa..
Simba nao wapumbavu, haiwezekani kilaza kama huyu akawa mhamasishaji wa chama kubwa..
We ndio kilaza,mpira wa bongo unataka watu dizaini ya mwijaku.mpira ni mchezo wa kihuni,mpira sio kama ofisi ya UN au BOT
 
We ndio kilaza,mpira wa bongo unataka watu dizaini ya mwijaku.mpira ni mchezo wa kihuni,mpira sio kama ofisi ya UN au BOT
Tizama huyu nae, unaongea kama una upungufu wa kende..

Sasa huyo mpuuzi ana uhuni gani kwenye soka,we wahuni wa mpira unawajua, soka la bongo haliwezi kuendelea kwa kuendekeza upuuzi kama huu.
 
Tizama huyu nae, unaongea kama una upungufu wa kende..

Sasa huyo mpuuzi ana uhuni gani kwenye soka,we wahuni wa mpira unawajua, soka la bongo haliwezi kuendelea kwa kuendekeza upuuzi kama huu.
Hujui mpira wa bongo wewe kaa kimya ulitaka hiyo kazi apewe jenerali ulimwengu au hamza kasongo,au tido mhando,huyuhuyu lopolopo ndio anafit hapo
 
Back
Top Bottom