Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Ndio ameshakuwa SasaSimba nao wapumbavu, haiwezekani kilaza kama huyu akawa mhamasishaji wa chama kubwa..
Wanaocheza mpira ni wachezaji,sio wahamasishajiSimba nao wapumbavu, haiwezekani kilaza kama huyu akawa mhamasishaji wa chama kubwa..
Hapo umechemka kidogo.Haiwezekani wakati tayari ashakuwa mhamasishaji wa teamSimba nao wapumbavu, haiwezekani kilaza kama huyu akawa mhamasishaji wa chama kubwa..
Basi wasingemuajiri muhamasishaji kama ni hivyoWanaocheza mpira ni wachezaji,sio wahamasishaji
Nitajie muhamasishaji wa Chelsea.Basi wasingemuajiri muhamasishaji kama ni hivyo
Sasa badala ya kulalamikia klabu yako unakuja kutulalamikia sisiNitajie muhamasishaji wa Chelsea.
Kuwapa tu watu hela za bure.
Jamaa si ana degree lakini kama kigezo chao kilivyotaka!Kama wameridhika nae na wameona ni wa viwango vyao basi tuwape hongera.
Simba nao wapumbavu, haiwezekani kilaza kama huyu akawa mhamasishaji wa chama kubwa..
We ndio kilaza,mpira wa bongo unataka watu dizaini ya mwijaku.mpira ni mchezo wa kihuni,mpira sio kama ofisi ya UN au BOTSimba nao wapumbavu, haiwezekani kilaza kama huyu akawa mhamasishaji wa chama kubwa..
kama mlipa mshahara amemkubali mashabiki wataishia kupiga kelele tu hahahJamaa si ana degree lakini kama kigezo chao kilivyotaka!
Mbona hata Haji ni Muongo muongo tu. Leo anasema hivi, kesho anageuka kuwa aliongea akiwa amelewa.Duh wametuletea mmbeya sasa
Tizama huyu nae, unaongea kama una upungufu wa kende..We ndio kilaza,mpira wa bongo unataka watu dizaini ya mwijaku.mpira ni mchezo wa kihuni,mpira sio kama ofisi ya UN au BOT
Hujui mpira wa bongo wewe kaa kimya ulitaka hiyo kazi apewe jenerali ulimwengu au hamza kasongo,au tido mhando,huyuhuyu lopolopo ndio anafit hapoTizama huyu nae, unaongea kama una upungufu wa kende..
Sasa huyo mpuuzi ana uhuni gani kwenye soka,we wahuni wa mpira unawajua, soka la bongo haliwezi kuendelea kwa kuendekeza upuuzi kama huu.
Ujinga mtupu wanatuletea ,jamaa hata hana idea na mpiraSimba nao wapumbavu, haiwezekani kilaza kama huyu akawa mhamasishaji wa chama kubwa..
Kusoma Kusoma Kasoma, Siyo Alifuu Ila Chuo KikuuJamaa si ana degree lakini kama kigezo chao kilivyotaka!