tyson ngumi njaa,nimpige,nimmalize nikombe mihela,ali ni entertainer,anapgana vizuri sanamike tyson was amazing boxer ever
kwhyo Ally hajawai pigwa kama mbwa mwizi au hujui yule jamaa ndo kamfanya awe na kiharusiHahahahaha, baada ya kukusoma nikamtafuta, nikakuta hii:
Amechapwa mpaka akamkata sikio mwenzake kwa meno.
kwhyo Ally hajawai pigwa kama mbwa mwizi au hujui yule jamaa ndo kamfanya awe na kiharusi
Walikuwa wana mpeleka kule ili waweze kumuua, alikuwa mtu wa misingi sana, alikuwa mwana haraka pia nje ya mchezo wa boxingHapana, Muhammad Ali hakuwa na "kiharusi" wala "kimatanga", Ali alikuwa na Parkinson's Disease ambayo haihusiani na boxing. Na alipigwa baada ya kupata hayo maradhi.
Kabla ya maradhi walimpiga wote alirudiana nao kuwatwanga tena.
Besides, Muhammad Ali, was not only an amazing and most admired boxer the world has ever seen, he was one of the most amazing human beings we have ever seen.
Muhammad Ali alidiriki na aliweza kuwakatalia serikali ya USA kumpeleka kupigana vita Vietnam kwa misingi ya kuwa dini yake hamruhusu kuuwa asiye na hatia. Unalijuwa hilo?
Hii alipopigana na tena George Foreman na kumtwanga, Zaire:
Watu kama George foreman sonny liston joe frazier hao walimjua ali nae aliwajua hilo pambano la thriller in manila ilikuwa khatari round ya kumi na tano watu wa joe wanatupa taulo ali anatangazwa mshindi kisha nae anaanguka chini.Tyson cha mtoto kwa Mohamed Ali....aliniudhi sana alivyomng'ata sikio Evander....
Watu kama George foreman sonny liston joe frazier hao walimjua ali nae aliwajua hilo pambano la thriller in manila ilikuwa khatari round ya kumi na tano watu wa joe wanatupa taulo ali anatangazwa mshindi kisha nae anaanguka chini.
Style kama sting like a bee and jump like a butterfly alimpiga sonny kama mtoto ali atabaki bondia wa kukumbukwa
Umesema kweli. Yaani kabisa ALI afanane na Malik Abdulaziz! Ngumu hii.Tyson cha mtoto kwa Mohamed Ali....aliniudhi sana alivyomng'ata sikio Evander....
We ndio unakuja kuharibu jamvi... Muda wooote -tv thinkingWengi wanampenda kwakuwa alikuwa anauwezo na alikuwa anaburudisha ila wewe unampenda na kumsifia kwa sababu aliitwa muhammad ali
Hujaangalia dini hapo kweli ?Sidhani kama atatokea mpiganaji ngumi aliyefurahisha dunia kama huyu:
Watu kama George foreman sonny liston joe frazier hao walimjua ali nae aliwajua hilo pambano la thriller in manila ilikuwa khatari round ya kumi na tano watu wa joe wanatupa taulo ali anatangazwa mshindi kisha nae anaanguka chini.
Style kama sting like a bee and jump like a butterfly alimpiga sonny kama mtoto ali atabaki bondia wa kukumbukwa