Ndivyo nilivyo andika dada yangu soma uzuri na pia ramble in the jungle ndo Zaire ya waqt ule tena formen bado kijana tena watu wanamtumainia na wanakerwa na majigambo ya ali shughuli ilikuwa pevu ali yupo na mtu wa kuitwa bundini ilikuwa pair nzuri hiyo walimpiga sonny miezi minne kabla wakienda nyumbani kwake na kufanya fujo ali akisema njoo tupigane hapa bila viingilio wala muamuzi sonny akawa kajaa kama puto kumbe wenzie wanajua wanachokifanya.Thriller in Manilla ilikuwa ni Ali na Joe Frazier:
But not to compared with Ali. He was the greatest indeedmike tyson was amazing boxer ever
Ndio mkuu lakini Ken Norton nakumbuka ndio bondia pekee aliweza kumpiga AliWatu kama George foreman sonny liston joe frazier hao walimjua ali nae aliwajua hilo pambano la thriller in manila ilikuwa khatari round ya kumi na tano watu wa joe wanatupa taulo ali anatangazwa mshindi kisha nae anaanguka chini.
Style kama sting like a bee and jump like a butterfly alimpiga sonny kama mtoto ali atabaki bondia wa kukumbukwa
Terver berbic, holmes, joe frazier, pia walimpiga ali kumbuka uzuri khabari hiyo tena nadhani holmes ndio alikuwa mtu wa mwisho kumpiga ali.Joe walikutana mara 3 mara mbili kashinda ali.Ndio mkuu lakini Ken Norton nakumbuka ndio bondia pekee aliweza kumpiga Ali
Ha ha mwanamke kiboko. Unapenda ngumi[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Sidhani kama atatokea mpiganaji ngumi aliyefurahisha dunia kama huyu:
Unajua kuzirusha ngumi wewe?70s Nilikuwa msichana peke yangu nnaefanya mazoezi ya boxing kwenye ukumbi wa anatoglo, mnazi mmoja.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Licha ya ngumi, nna rank ya 8.5 ya Tai Chi (1981).
My Tai Chi given name (nick) is Spring knife.
Ha ha ha kwaheri [emoji124] [emoji124] [emoji124]Licha ya ngumi, nna rank ya 8.5 ya Tai Chi (1981).
My Tai Chi given name (nick) is Spring knife.
MIND YOUR BUSINESS[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ajuza una fiksi wewe.
Mateke unaweza kurusha?
Mateke unaweza kurusha wewe?Sina sababu ya kufiksi.
Hunijuwi sikujuwi.
Kwangu tyson ni bondia bora kwa kiazi nilichokulia mie na kuona boxer, na alinifanya niupende mchezo huu ni yeye.. Ila Muhammad ali ni greatest kwa muda wote.. Nimeangalia video zakr nying nakir he is the best..