Anajishtukia tu.kama anaoga njia pandaMbona WaTz mnamtesa huyu Dada jameni, amewafanyia yepi, hadi mitandaoni CV yake mwaiharibu, mfaidike na nini? Shengesha hizi zote kwanini?, masikitiko jameni, kamwache huyu dada. Na Kenya yuakaribishwa kwa mikono miwili!
Wewe ekari mbili utaomba kwa nani?Ardhi yote si ya Uhuru&family na wazungu wachache tu.Ahhh!! Very heart breaking to hear such things about Muhando! Her songs were my mothers favorite dem days!! Surely, they should leave her alone! Wacha ahame kabisa hata mimi niko rathi nimpe hata ekari mbili hivi kule Western aanze maisha!!
Why is Tanzania like this!! I can recall TID who became nothing after a very short time!! Then came kina Kidali po Hit maker Mr. Nice! What is wrong with this people!!
But Muhando!! Nooooo
?? don't you guys have human rights in your country?Nazani huyo mdada husemi ukweli halisi, kwa hiyo akihamia uko kenya ndio huyo jamaa anashindwa kumuua.
Reject? With her level of accomplishmeKawaida kwa mareject wa Tanzania kukimbilia Kenya maana huku hawana nafasi tena. Anajua Wakenya hamjui kitu kwa hiyo ataendelea kuwapiga vijihela vyenu.
That is rubbish.Wewe ekari mbili utaomba kwa nani?Ardhi yote si ya Uhuru&family na wazungu wachache tu.
Enyewe......Kenya bado watampata tuNazani huyo mdada husemi ukweli halisi, kwa hiyo akihamia uko kenya ndio huyo jamaa anashindwa kumuua.
Lol ....this will be diamon before the end of 2019
Kama nyinyi ni intelligent mbona al shabbab wanavamia active camps za kdf kizembebasi huwajui wakenya...kenyans are the most intelligent East Africans..
Wallahi imeniuma sana hawa watu wana roho mbovu sana!!!
Yaani asije mtu akiibuka kushinda mwingine kule!!
Argh!! Lakini Muhando wangeachana naye bana!! urrgh
this is 'ujamaa' at work...Nyerere finished these guys!....uchawi uliopo kule Tz ni wa kustaajabisha...huwezi ukaendelea maishani....wakikuona unapaa wanakuroga...nina marafiki wengi watz wanaishi hapa Nairobi wanasema hawawezi wakarudi kule kwao tena kwa sababu ya ushirikina na uchawi...welcome Rose Muhando..njoo ktk mji wa Londoni..you will find peace...
Niliwahi sema hapa ndani hatujui jinsi ya kulinda tunu zetu..!!! Jiweke kwenye nafasi ya Rose ndio utajua.maumivu yake.!! Labda unamfahamu Rose lakini tupo tunaomfahamu zaidi yako..Rose Muhando ni teja.. Hata wakina Ray C walikuwa wanakataa hivi hivi ila mwisho tunaujua ....
Namfahamu ray C ni teja... Aache madawa ndio pona yake ...
Nasema tena namjua rose ni teja acha madawa mama