JOSEPH SAKI
Senior Member
- Jun 28, 2013
- 110
- 16
sfuchas wametoa tembelea website yaoWanafunzi walioomba vyuo vya afya tajwa hapo juu kwa tumechoka kusubiri!! Wakuu kuna mtu yeyote anaefahamu kinachoendelea kwenye vyuo hivi.....tufahamishane bandugu
sfuchas wametoa tembelea website yao
Ahhhh muhas !!?you want to be a looser and mlevi na maskini forever na malaya?go to medical school
Ahhhh muhas !!?you want to be a looser and mlevi na maskini forever na malaya?go to medical school
ukibojeza hapo kwa mara ya kwanza utaona maandish ya selected applicants kama yamefifia hiv click hapo majina yatakuja in PDFnimejaribu kufungua pale kwenye web ya sfuchas kwenye new selected lakini hayakuja majina yoyote!!!
ukibojeza hapo kwa mara ya kwanza utaona maandish ya selected applicants kama yamefifia hiv click hapo majina yatakuja in PDF
ntajie jina lako nkuchekie
Jina la frank nimeliona but Yohana sijalionafrank a manumbu pamoja na yohana i charles...
Ahhhh muhas !!?you want to be a looser and mlevi na maskini forever na malaya?go to medical school
Jina la frank nimeliona but Yohana sijaliona