SEPHORD SAUL
New Member
- Sep 11, 2014
- 1
- 0
Hayo yametokea baada ya kila mmoja kuongea lake kuhusu tarehe na muda wa kufanyiwa addimition.Hivyo nataka kujua ukweli wa jambo hilo.
Hayo yametokea baada ya kila mmoja kuongea lake kuhusu tarehe na muda wa kufanyiwa addimition.Hivyo nataka kujua ukweli wa jambo hilo.
Kama hawajachange,first year wanaripoti tarehe 6 october na continuing wanaripoti tarehe 13 october
Source:University Almanac
Nimesoma kwenye gazet jana First year wanaripot 13 wengne tarh 20....
Bado mmeniacha njia panda cjui nishike ipi.