concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 3,379
- 6,624
Muheshimiwa kwanza nianze kukupongeza kwa Juhud zako tukufu za kulifufua shirika letu LA nndege hii inaonesha una nia ya dhati ya kutufikisha canaan.
Muheshiwa pia nimeona jitihada zako za kuvutia wawekezaji, Mimi naomba nianzie hapa kuwa hakuna muwekezaji mzur kama RAIA mwenyewe. Hao wawekezaji Wa nje hawawez let's badiliko LA maana. Mfano mdogo tu angalia wawekezaji kama tbl na ufaninishe na Adam, utagundua azam anafanya mengi sana zaid ya hao ingawa nadhan wamekuwapo miaka mingi sana.
Muheshimiwa kulingana na ripoti ya sagcot ya mwaka 2008 uhusuyo arable land in Tanzania. Tanzania INA hectare 44mil ya arable land na wakazid kuzicategorise Wa high potential 2.3, medium potential 4.8 na low potential. 22mil na hizi in zile zinazodondokea kwenye land suitable for irrigation ambazo jumla ni 29mil.
Muheshimiwa ukiangalia kwa afrika nchi ambayo inaweza zalisha chakula na kujitosheleza ni sisi tu kulingana na eneo tulilo nalo. Mfano zaid ya Zambia hakuna nchi inajitoshladha kwa ngano tukiwemo na sisiKwa mfano south Saharan countries total importation ya ngano ni21mil tonnes per annual huku gap likizid kukua. Egypt na Morocco tu importation take ikiwa in 18mil tonnes per annual hapo sijaweka na nchi nyingine.kwa mfano huoo uhakika Wa solo LA ngano upo.
Muheshimiwa kwa waliowahi tembelea nchi zinazotuzunguka watakubaliana na Mimi kuna uhaba mkubwa Wa mchele,viazi,maharagwe na vyakula vyote kwa ujumla. Mara ya mwisho nimeenda Lubumbashi nakumbuka kununua mchele kwa usd3/kg lakin kipind hicho kwetu ilikuwa 1200tu tena ule super wakat ule nilionunua kule ulikuwa in ule Wa Thailand usio na ladha. Hizi case kama hizi utazikuta nchi kama msumbuji,Rwanda,Congo,somalia south Sudan.
Muheshimiwa mpaka hapa nimejaribu kukuoneasha uhakika Wa solo nilionao
OMBI
Muheshimiwa mim naomba unikodishe bonde lote LA MTO malagarasi au wastan Wa hectare 2000000kwa muda ya miaka mitano ambazo ni wastani wa asilimia 6% tu ya eneo ambalo halilimwi au halijatumiwaUSD 448mil ambazo ni sawa na ununuzi Wa ndege mbili aina ya dreamliner787.
MAREJESHO
Kuanzia Sikh ambayo nitaanza operation mpka miaka mitano inatimia niwe nimejesha bombardier q400 =250 au sukhoi superjet =250 na Boeing 787=150. Hii ni ndan ya miaka mitano tuu hata kama zitakuwa hazijafika lakin ziwe zimelipiwa in cash. Au kujenga barabara ya njia nne toka dar mpaka tunduma na dar mpaka mpka Wa Rwanda na Uganda.
Ila shaft uondoe zuio LA kuuza mazao nje
Muheshiwa pia nimeona jitihada zako za kuvutia wawekezaji, Mimi naomba nianzie hapa kuwa hakuna muwekezaji mzur kama RAIA mwenyewe. Hao wawekezaji Wa nje hawawez let's badiliko LA maana. Mfano mdogo tu angalia wawekezaji kama tbl na ufaninishe na Adam, utagundua azam anafanya mengi sana zaid ya hao ingawa nadhan wamekuwapo miaka mingi sana.
Muheshimiwa kulingana na ripoti ya sagcot ya mwaka 2008 uhusuyo arable land in Tanzania. Tanzania INA hectare 44mil ya arable land na wakazid kuzicategorise Wa high potential 2.3, medium potential 4.8 na low potential. 22mil na hizi in zile zinazodondokea kwenye land suitable for irrigation ambazo jumla ni 29mil.
Muheshimiwa ukiangalia kwa afrika nchi ambayo inaweza zalisha chakula na kujitosheleza ni sisi tu kulingana na eneo tulilo nalo. Mfano zaid ya Zambia hakuna nchi inajitoshladha kwa ngano tukiwemo na sisiKwa mfano south Saharan countries total importation ya ngano ni21mil tonnes per annual huku gap likizid kukua. Egypt na Morocco tu importation take ikiwa in 18mil tonnes per annual hapo sijaweka na nchi nyingine.kwa mfano huoo uhakika Wa solo LA ngano upo.
Muheshimiwa kwa waliowahi tembelea nchi zinazotuzunguka watakubaliana na Mimi kuna uhaba mkubwa Wa mchele,viazi,maharagwe na vyakula vyote kwa ujumla. Mara ya mwisho nimeenda Lubumbashi nakumbuka kununua mchele kwa usd3/kg lakin kipind hicho kwetu ilikuwa 1200tu tena ule super wakat ule nilionunua kule ulikuwa in ule Wa Thailand usio na ladha. Hizi case kama hizi utazikuta nchi kama msumbuji,Rwanda,Congo,somalia south Sudan.
Muheshimiwa mpaka hapa nimejaribu kukuoneasha uhakika Wa solo nilionao
OMBI
Muheshimiwa mim naomba unikodishe bonde lote LA MTO malagarasi au wastan Wa hectare 2000000kwa muda ya miaka mitano ambazo ni wastani wa asilimia 6% tu ya eneo ambalo halilimwi au halijatumiwaUSD 448mil ambazo ni sawa na ununuzi Wa ndege mbili aina ya dreamliner787.
MAREJESHO
Kuanzia Sikh ambayo nitaanza operation mpka miaka mitano inatimia niwe nimejesha bombardier q400 =250 au sukhoi superjet =250 na Boeing 787=150. Hii ni ndan ya miaka mitano tuu hata kama zitakuwa hazijafika lakin ziwe zimelipiwa in cash. Au kujenga barabara ya njia nne toka dar mpaka tunduma na dar mpaka mpka Wa Rwanda na Uganda.
Ila shaft uondoe zuio LA kuuza mazao nje