Bandabichi
JF-Expert Member
- Jun 3, 2012
- 230
- 42
Heshima mbele wakuu wa jamvi.
Leo nimepigiwa simu na sekretarieti ya ajira kutakuwa na interview muhimbili. Tafadhali nilikuwa sehemu mbaya kidogo
kwa hiyo umakini haukuwepo na binti alikuwa na haraka. Mwenye taarifa tujuzane zaidi wakuu.
Jioni njema.
Leo nimepigiwa simu na sekretarieti ya ajira kutakuwa na interview muhimbili. Tafadhali nilikuwa sehemu mbaya kidogo
kwa hiyo umakini haukuwepo na binti alikuwa na haraka. Mwenye taarifa tujuzane zaidi wakuu.
Jioni njema.