Haulali kwenye Chandarua na kila siku unaramba matako ya wanawake, kwa nini usipate Malaria Na UTI sugu?Haipiti siku utasikia Muhimbili wamefanikisha hili, mara sijui wameweza kupandikiza kitu gani sikioni, mara Moyo umewekewa betri, yote hii ni sawa lkn ingekuwa vizuri zaidi na kwa manufaa kama hizi Rasilimali mngeziwekeza kwenye kutokomeza Magonjwa yanayotusumbua kila siku, kama Malaria, Kichocho, Kipundupindu, UTI, Hepatitis n.k. ...
You have a point, lakini kwanza tu combat "basic diseases"You have a point....ila muhimbili ni super specialized institution