Muhimbili/Serikali acheni kuwekeza kwenye Magonjwa nadra!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,817
Haipiti siku utasikia Muhimbili wamefanikisha hili, mara sijui wameweza kupandikiza kitu gani sikioni, mara Moyo umewekewa betri, yote hii ni sawa lkn ingekuwa vizuri zaidi na kwa manufaa kama hizi Rasilimali mngeziwekeza kwenye kutokomeza Magonjwa yanayotusumbua kila siku, kama Malaria, Kichocho, Kipundupindu, UTI, Hepatitis n.k. ...
 
You have a point....ila muhimbili ni super specialized institution
 
Haulali kwenye Chandarua na kila siku unaramba matako ya wanawake, kwa nini usipate Malaria Na UTI sugu?
 
Mbona kawaida mkuu...wamespecialize wale....usijali magonjwa mengine yanatibiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…