Muhimbili University of Health and Allied Science ni miongoni mwa vyuo vinavy oheshimika hapa Nchini na nje ya Nchi, kiasi kwamba kuna wanafunzi wanatoka Nchi za nje na kuja kusoma hapo, mfano, Sudan Kusini, Uganda, Zambia , Malawi n.k. Tatizo lililopelekea kuweaka hii thread hapa ni mfumo wao wa kutangaza matokeo ya University Exam, UE, bado wanatumia njia ya zamani ya kubandika kwenye Notice board, ikumbukwe mida hii ni likizo ya muda mrefu, wanafunzi wamesafiri kurudi makwao mikoani na nje ya Nchi, sasa wanapobandika matokeo kwenye Notice board, walio nje ya Dar es Salaam watayapataje? this is too extra ordinary, kwa nini wasiupload kwenye website yao, mwanafunzi anaaccess kwa Reg no yake na user name popote alipo, not all people stays in Dar, this is International University.