Badilisha hiyo title, ni tatizo la kiufundi,kwanza ulifuata nini huko Ch10, si ungeendelea kuangalia hiyo e channel.
Jana katika mechi ya Chelsea na Bordeaux, Channel 10 iliahidi kuonyesha.
Ilituonyesha mpira sisi wadanganyika lakini kwa uongo mkubwa. Mechi waliirekodi Channel e na bila kuwa na AIBU MIOYONI MWAO, walituwekea kuwa mechi ni LIVE.
Hivi mnajua sisi tumechoka kudanganywa? Maskini wenzangu na mimi wakakaa wakiangalia mechi kumbe wako takribani dakika 23 nyuma. NA MMEWEKA LIVE!!!!
MNABOA, iko siku mkiendeleza mambo ya uongo wa namna hii mtaonja joto ya jiwe.
Kama ilishindikana kuonyesha muda ule ulipoanza, mngetoa taarifa na pia LIVE mngetoa.
Kuhusu kuangalia channel 10, kiila mtu ana uhuru wa kuangalia channel yoyote, ni mtazamo na ukweli ndugu
Jana katika mechi ya Chelsea na Bordeaux, Channel 10 iliahidi kuonyesha.
Ilituonyesha mpira sisi wadanganyika lakini kwa uongo mkubwa. Mechi waliirekodi Channel e na bila kuwa na AIBU MIOYONI MWAO, walituwekea kuwa mechi ni LIVE.
Hivi mnajua sisi tumechoka kudanganywa? Maskini wenzangu na mimi wakakaa wakiangalia mechi kumbe wako takribani dakika 23 nyuma. NA MMEWEKA LIVE!!!!
MNABOA, iko siku mkiendeleza mambo ya uongo wa namna hii mtaonja joto ya jiwe.
Kama ilishindikana kuonyesha muda ule ulipoanza, mngetoa taarifa na pia LIVE mngetoa.