only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,527
.......Nimekuwa nikipata taarifa tofauti tofauti kila mara ninapouliza watu juu ya GPA ya JK kwenye Bachelor yake.Wengi wanadai aligonga 2.6 na kagonga Supp za kutosha almost each semister....Nauliza hili nadhani lina connection na some of his failure in leadership....Na nimekuwa nafuatilia kauli fulani huyu Prof Lipumba aka LI-PUMBA amekuwa akisema JK alikuwa na midhaa tangu akiwa chuo,Je si kwamba midhaa ndio anayoindeleza?