Muhimu kuiona hii kwa wanaume/wanawake tu!!!

Nilikuwa sijawahi kukuona Mrembo una hasira, leo ndio nimejionea
Mpaka nimeogopa kuku-quote pamoja na mabuti yangu . . lol:lol:

My dear mie sio mtu wa hasira
Ila kuna wakati na tibuka tu nyongo
Kuna watu kule kwenye complaint s
wameniudhi sana kuhusu Mods..
 

Kwa mtazamo wangu, huyu ndio amejibu alichokiuliza mtoa mada. Tunatarajia majibu mengine zaidi kwa style hii!! Je na wanawanake ni hivo hivo??????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…