Jibu umeshajipa mwenyewe hapo...ni kweli ili jogoo liwike, lazima mwanaume apate ashki, halafu anamwaga hormones ambazo zinaongeza msukumo wa damu kwenda kwa jogoo, na hapo ndipo atawika. Kwa wagonjwa wa kisukari hili linakuwa linapunguzwa ufanisi na hivyo kuwika kunakuwa na mushkeli kidogo (NB: Sio wagonjwa wa sukari wote).
Kwa wanawake mechanism ni tofauti, haitaji msukumo wa damu na hivyo...hata akiwa na kisukari bado anaenjoy mchezo kama kawaida!