gbrother
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 408
- 51
Kuna sms inasambazwa inasema "karudie kurenew mkopo, mwisho tr 31 mwezi huu, mwanzoni mtandao ulikuwa unasumbua. Wajulishe na wengine" hivi hizi taarifa ni kweli? Mwenye uhakika naomba hatusaidie kupitia hapa kama taarifa hii ni sahihi maana wengine tuko mbali na cafe,