Ameen. Mkuu nilikurupuka nikajaza second bila kuangalia list. Baada ya kuona cmo nkatoa! Ama kweli hofu yaweza ua!mwee!hilo ni jambo la kawaida hata msihofu ndugu zangu kilichotokea ni kwamba sasa ndo panel zinaanza kukaa kwa ajili ya kufanya selection so course zenu mlizochagua hamuwezi kuziona kwa sasa ila mara tu process ya selection ikikamilika utaona course uiyochaguliwa na chuo husika..mind u ni hali ya kawaida na usifanye chochote katika profile yako kwa sasa ila unashauriwa uwe unaitembelea mara kwa mara kama kutakuwa na mabadiliko yoyote..kama una swali lolote usisite kuniuliza kwa PM hata hapa katika thread..
sijakuelewa, ndo wanafanya selection kivipi?
selection zilishafanyika siku nyingi na ndo maana wakatoa majina ya ambao hawajachaguliwa. hapo wanachokifanya ni kumwandikia kila mmoja kwenye profile yake amechaguliwa chuo gani na kozi gani kati ya zile alizochagua!
Haiwezekani eti hawajafanya selection halafu waseme kuna watu hawajapata vyuo!
panel ilishakaa siku nyingi sana na ndo maana wakatoa majina ya waliokosa na pia wakatoa na courses ambazo hazijapata watu!
watajuaje courses ambazo hazijapata watu kama walikuwa hawajafanya selection?
soon kila mtu atajua amepangiwa wapi kwa wale waliopata!
Ndugu yangu Tangopori laiti ungejua mimi ni nani huku TCU na nipo kitengo gani usingeyasema hayo.....kuanzia tarehe 10 mara tu baada ya deadline ya hawa watu wa 2nd round ambayo ni tarehe 9...ndio tutaanza mchakato mzima wa selection...take my word for that!!!
Ameen. Mkuu nilikurupuka nikajaza second bila kuangalia list. Baada ya kuona cmo nkatoa! Ama kweli hofu yaweza ua!mwee!
Kwa topic hii wewe unafanya nini TCU hata huelewi kinachoenedelea??Ndugu yangu Tangopori laiti ungejua mimi ni nani huku TCU na nipo kitengo gani usingeyasema hayo.....kuanzia tarehe 10 mara tu baada ya deadline ya hawa watu wa 2nd round ambayo ni tarehe 9...ndio tutaanza mchakato mzima wa selection...take my word for that!!!
nadhani kuna kitu hujakielewa vizuri ndg yangu hawa watu ambao majina yao yametoka juzi sio kama wamekosa vyuo ila ni kwa sababu zifuatazo:i) Being eligible but left due to Competition;Nini maana ya kusema second round for those who are not selected? ktk mantinki ya kawaida huwezi kuwa na majina ya waliokosa kama hakuna kilichofanyika pia huwezi kuwa na idadi ya kozi zilizowazi kama hakuna kilichofanyika. unaweza kuwa ikulu lakini usijue rais atasafiri lini.
baadhi ya comments zako kwenye hii threadnadhani kuna kitu hujakielewa vizuri ndg yangu hawa watu ambao majina yao yametoka juzi sio kama wamekosa vyuo ila ni kwa sababu zifuatazo:i) Being eligible but left due to Competition;
ii) Failure to submit their programme choices;
iii) Choosing programmes that they do not qualify.....trust me bdo hatujafanya selection tupo ktk phase 1......phase 2 inaanza tarehe 10
Cjui wana tatzo gani! Labda tusubiri
Afu wengne ndo tunaenda jeshi sasa cjui wanampango gani na cc
nadhani kuna kitu hujakielewa vizuri ndg yangu hawa watu ambao majina yao yametoka juzi sio kama wamekosa vyuo ila ni kwa sababu zifuatazo:i) Being eligible but left due to Competition;
ii) Failure to submit their programme choices;
iii) Choosing programmes that they do not qualify.....trust me bdo hatujafanya selection tupo ktk phase 1......phase 2 inaanza tarehe 10
ndio maana nasema ivi......I LOVE JF!Huyu mbwiga88 anatufanya wote mazoba humu JF wakati sisi ni maGT wa ukweli,ukweli ni kwamba selection zipo tayari na hakuna panel inayokaa kufanya selection ni kwamba hii kitu hufanywa na system tena within a single day kila kitu kinamalizika.
nadhani kuna kitu hujakielewa vizuri ndg yangu hawa watu ambao majina yao yametoka juzi sio kama wamekosa vyuo ila ni kwa sababu zifuatazo:i) Being eligible but left due to Competition;
ii) Failure to submit their programme choices;
iii) Choosing programmes that they do not qualify.....trust me bdo hatujafanya selection tupo ktk phase 1......phase 2 inaanza tarehe 10