Wizara ya mikopo SAUTSO inawafahamisha wanufaika wote wa MKOPO kuanzia mwaka wa 2,3 na 4 kwamba kesho 7/10/03 kuanzia saa3:30 kufika maeneo ya ATM chuoni hapa wakiwa na ATM card ya CRDB na kitambulisho cha chuo kwa ajili ya kusaini FEDHA ya kujikimu,wizara inaomba uzingatiwaji wa mda,vigezo na maelekezo
asanteni na karibuni muhudumi[/h]