Muhimu kwa wenyeji wa Geita Mwanza

NG'WENEKELE

Member
Joined
Mar 7, 2011
Posts
14
Reaction score
0
Jamani mwenzenu nimemaliza Chuo mwaka jana mwezi wa 7. Nahitaji ajira inayohusiana na Law, Administration, Customer care, Policy Advocacy, Human Resource n.k. Anayeweza kunisaidia tafadhali namba 0683777792. Tusaidiane tusitupane wapendwa.
 
Jamani mwenzenu nimemaliza Chuo mwaka jana mwezi wa 7. Nahitaji ajira inayohusiana na Law, Administration, Customer care, Policy Advocacy, Human Resource n.k. Anayeweza kunisaidia tafadhali namba 0683777792. Tusaidiane tusitupane wapendwa.

Umesoma course gani naona umetaja mambo megi na ni fani tofauti tofauti......Be specific
 
Kaka hakuna kazi siku hizi kama wewe umesoma law anza kapisa kuwa mpiganaji na anza kuwaelimisha wananchi juu ya haki zao huo ndio utakuwa mwanzo wa wewe kujitangaza na kuanza fanya mambi makubwa zaidi!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…