Muhimu sana kwa .jf entrepeners chekini hiyo aidia na changia kadri uwezavyo.

mtoa mada hebu rekebisha heading ya topic yako kwanza

inaishusha credibility ya topic , jf entrepeners ni nini?
 
wazo zuri,tafadhali hakiki ulichokiandika ili kilete maana nzuri na uwelewa.ukishindwa ipitishe jukwaa la lugha watakuwekea mtiririko mzuri wa mawazo yako.
 

duh. , i reserve my comment and opinions
 
wazo zuri,tafadhali hakiki ulichokiandika ili kilete maana nzuri na uwelewa.ukishindwa ipitishe jukwaa la lugha watakuwekea mtiririko mzuri wa mawazo yako.

Mtiririko upi huo? Labda wewe usaidie kufanya hivyo.
 
Big up ni wazo zuri tatizo sina kampuni yoyote tunge organize tuanzie wapi!
 
mtoa mada hebu rekebisha heading ya topic yako kwanza inaishusha credibility ya topic , jf entrepeners ni nini?
halafu asilimit michango, wengine sio entrepreneurs ila tunaweza toa mawazo mazuri,
 
Reactions: LAT
duh. , i reserve my comment and opinions

Umeona eeh??

Hivi kwa nini mtu hawezi kujipa muda wa kusahihisha makosa ya uandishi? Yeye anakimbilia ku-post tu!!? Shame on you guy! Mara "Members" iandikwe "Membars" cha wapi hicho? Halafu kesho na kesho kutwa eti unamcheka Mama Hawa Ghasia!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…