CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
WANA JF NI NAPENDEKEZO MOJA KWA WAJASIRIAMALI .
INTERDEPENDECE CLUBS OR GROUPS OF COMPANY
Nimejaribu Kupitia Thread Nyingi sana Kwenye Jukwaa la Biashara na kwa kweli ni nzuri sana kwa msatakabari wetu hapa Tanzania, So mimi napendekeza Vitu Vifuatazo.
a. KUANZISHA INTERDEPENDECE GROUPS OF COMPANY AMBAYO ITAKUWA NA MAJUKUMU YAFUATAYO
1. MFANO WA KAMPUNI HIZO NI HIZI
1. Utarii
2. IT
3. Consultancy
4. Agriculture/ katika nyanja mbalimbali
5. Ufugaji wa Kuku na Nyuki
6. Clearing and Forwarding
7. Hoteli/ Migahawa
8. Guest House
9. Usafirishaji wa Bidhaa na Abiria
10. Uuzaji wa Bidhaa kwa Ujumula
11. Constraction
12. Comnication
13. Educatiuon
14. Packaging
15. Export and Importation
16. Printing
- Nazingine nyingi sana ambazo sijazitzja.
Tukiwa kila mtu au watu wana Biashara/Kampuni zao zinazo fanya shuguri tofautitofaut tutaweza kutegemeana kwa vitu vifuatavyo.
NB: LAZIMA TUWE NA BIASHARA ZINAZO TAMBULIKA MEANS REGSTERD BUSINESS
1. Kampuni za IT zatatusaidia katika shughuli za zetu za ki IT so kazi zote shariti tuzipeleke kwa watu hao
2. Kilimo makampuni ya kilimo yatakavyo kuwa yanazarisha mazao yao memba wengine wanao fanya biashara za ununuaji wa mazao hayo shariti wanunue
3. Makampuni ya consultancy yatakuwa yanatusaidia kwenye kazi zetu mbalimbali za kiushauri, so kazi zote shariti tuwapelekee wao
4. Kampuni za Printing wao watakuwa wakiprint kazi zeu, so shariti tuwapelekee wao
5. Makampuni ya Clearing and Fowarding watapata kazi zetu za ku exprt na ku import bidhaa zetu
6. Makampuni ya Ujenzi yatapata kazi zetu pale tutakapo kuwa tunahitaji kujenga
7. Makampuni ya Packaging yatapata kazi zetu za kupark bidhaa zetu
8. Mahoteli, Migahawa na Guest yatakuwa yakipata kazi zetu pale wanamakampuni watakavyo kuwa wana safari basi watalala, kula kwenye migahawa na hoteli hizo
9. Makampuni ya Kuuza pembejeo za kilimo wao watakuwa wanapata kazi za kutuuzia pembejeo
10. Maduka ya Jumula na Rejareja mfano supermarket wao watakuwa wakinunua bidhaa za wazarishaji wengine
KWA KIFUPI MWENYE KAMPUNI ATAKUWA AKIWAUZIA WATU WA NJE BUT, MEMBARS SHARITI WANUNUE AU WATUMIE HUDUMA ZA MEMBERS, UNLESS KAMA MEMBERS ATAKUWA HANA HUDUMA HIYO INAYO HITAJIKA.
MFANO: MIMI KAMA NAHITAJI KUTENGENEZEWA WEBSITE KAMA MEMBAS WATAKUWA HAWAWEZI BUSI HAPO NITAKUWA HURU KUTAFUTA NJE YA MEMBARS
JAMANI HII ITATUSAIDIA KUJIKWAMUA KAMA MNAVYO FAHAMU USHINDANI ULIOPO, TUKIWA WADOGO HILI LITATUSAIDIA KU GROWA UP. WAHINDI WANATUMIA SANA MFUMO HUU
1. MUHINDI ANAWEZA TOKA ARUSHA HADI DAR KWENDA KUNUA KITU AMBACHO HATA ARUSHA KIPO BUT ATAAENDA KUNUNUA KWA MWENZAKE DAR.
- HAPA TUNAWEZA TENGENEZA SHERIA ZETU ZA KUTUONGOZA NA KUTENGENEZA NETWORK YETU WENYEWE NA TUTAKUWA TUKIKUTANA KWA MAONGEZI NA KUANGALIA NI NANI ANA MATATIZO NA KUCHANGIA MAWAZO YA NINI AFANYE
CHANGIENI PLS
INTERDEPENDECE CLUBS OR GROUPS OF COMPANY
Nimejaribu Kupitia Thread Nyingi sana Kwenye Jukwaa la Biashara na kwa kweli ni nzuri sana kwa msatakabari wetu hapa Tanzania, So mimi napendekeza Vitu Vifuatazo.
- KWANZA NI VIGUMU SANA KWA SASA KUWA NA KITU KINACHO ITWA MASHAMBA YA KWA PAMOJA KAMA YALE YA ENZI ZILE ZA UJAMAA. TUNAWEZA ANZISHA MASHAMBA HAYO BUT NI VIGUMU KUYAENDESHA WATU WAKIWA WENGI MASARANI 30 HIVI NI VIGUMU MNO NA KITU AMBACHO KINAWEZA LETA MATATIZO KWA BAADAE.
- NINI TUFANYE?
a. KUANZISHA INTERDEPENDECE GROUPS OF COMPANY AMBAYO ITAKUWA NA MAJUKUMU YAFUATAYO
1. MFANO WA KAMPUNI HIZO NI HIZI
1. Utarii
2. IT
3. Consultancy
4. Agriculture/ katika nyanja mbalimbali
5. Ufugaji wa Kuku na Nyuki
6. Clearing and Forwarding
7. Hoteli/ Migahawa
8. Guest House
9. Usafirishaji wa Bidhaa na Abiria
10. Uuzaji wa Bidhaa kwa Ujumula
11. Constraction
12. Comnication
13. Educatiuon
14. Packaging
15. Export and Importation
16. Printing
- Nazingine nyingi sana ambazo sijazitzja.
Tukiwa kila mtu au watu wana Biashara/Kampuni zao zinazo fanya shuguri tofautitofaut tutaweza kutegemeana kwa vitu vifuatavyo.
NB: LAZIMA TUWE NA BIASHARA ZINAZO TAMBULIKA MEANS REGSTERD BUSINESS
1. Kampuni za IT zatatusaidia katika shughuli za zetu za ki IT so kazi zote shariti tuzipeleke kwa watu hao
2. Kilimo makampuni ya kilimo yatakavyo kuwa yanazarisha mazao yao memba wengine wanao fanya biashara za ununuaji wa mazao hayo shariti wanunue
3. Makampuni ya consultancy yatakuwa yanatusaidia kwenye kazi zetu mbalimbali za kiushauri, so kazi zote shariti tuwapelekee wao
4. Kampuni za Printing wao watakuwa wakiprint kazi zeu, so shariti tuwapelekee wao
5. Makampuni ya Clearing and Fowarding watapata kazi zetu za ku exprt na ku import bidhaa zetu
6. Makampuni ya Ujenzi yatapata kazi zetu pale tutakapo kuwa tunahitaji kujenga
7. Makampuni ya Packaging yatapata kazi zetu za kupark bidhaa zetu
8. Mahoteli, Migahawa na Guest yatakuwa yakipata kazi zetu pale wanamakampuni watakavyo kuwa wana safari basi watalala, kula kwenye migahawa na hoteli hizo
9. Makampuni ya Kuuza pembejeo za kilimo wao watakuwa wanapata kazi za kutuuzia pembejeo
10. Maduka ya Jumula na Rejareja mfano supermarket wao watakuwa wakinunua bidhaa za wazarishaji wengine
KWA KIFUPI MWENYE KAMPUNI ATAKUWA AKIWAUZIA WATU WA NJE BUT, MEMBARS SHARITI WANUNUE AU WATUMIE HUDUMA ZA MEMBERS, UNLESS KAMA MEMBERS ATAKUWA HANA HUDUMA HIYO INAYO HITAJIKA.
MFANO: MIMI KAMA NAHITAJI KUTENGENEZEWA WEBSITE KAMA MEMBAS WATAKUWA HAWAWEZI BUSI HAPO NITAKUWA HURU KUTAFUTA NJE YA MEMBARS
JAMANI HII ITATUSAIDIA KUJIKWAMUA KAMA MNAVYO FAHAMU USHINDANI ULIOPO, TUKIWA WADOGO HILI LITATUSAIDIA KU GROWA UP. WAHINDI WANATUMIA SANA MFUMO HUU
1. MUHINDI ANAWEZA TOKA ARUSHA HADI DAR KWENDA KUNUA KITU AMBACHO HATA ARUSHA KIPO BUT ATAAENDA KUNUNUA KWA MWENZAKE DAR.
- HAPA TUNAWEZA TENGENEZA SHERIA ZETU ZA KUTUONGOZA NA KUTENGENEZA NETWORK YETU WENYEWE NA TUTAKUWA TUKIKUTANA KWA MAONGEZI NA KUANGALIA NI NANI ANA MATATIZO NA KUCHANGIA MAWAZO YA NINI AFANYE
CHANGIENI PLS