MUHIMU: Simu nyingi kuishiwa chaji jioni ya VALENTINE'S DAY

kichwat

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2010
Posts
1,819
Reaction score
588
wana JF si vibaya kuwajuza kwamba mawasiliano ya simu yatakuwa mabaya sana jioni ya Valentine's Day (au REVELATION DAY)
Hii itatokana na simu kuishiwa chaji, na matatizo ya mitandao kama ilivyokuwa mwaka jana au mwaka juzi ...HASA KWA WENYE WAPENZI ZAIDI YA MMOJA.

Abiria chunga chako jioni hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…