Ukitoka tiGo karibu tena Voda
Sasa ukiwa na mtandao wa TIGO unaweza kutuma message kwa sh 500 tu kwa siku. HII NI EXTREME SMS.
Tuma neno xtreme sms kwa namba 15509 na uweze kufaidika na huduma hii.
KUMBUKA NI KUTUMA MESSAGE KWA MITANDAO YOTE NCHINI.
TIGO, EXPRESS YOUR SEEEEELF!!!!
NInachojua mimi ni kuwa TTCL walicheleweshwa sana kuanza biashara ya simu za mkononi na internet kwa manufaa ya mafisadi wachache.
Huu ni uozo ambao viongozi wetu wamekuwa wakiifanyia nchi yetu. Leo hata TTCL kwa bidii zake bado wanafanyiwa uhuni mwingi sana. Kama hujui tafuta rafiki mwema pale atakuambia yote.