Muhimu:Wapi zilipo ofisi za M-Bet na Gate Way Gaming Limited

Alexism

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2011
Posts
3,423
Reaction score
2,046
Wadau wa mpira asa wazee wamikeka naomba msaada kunijurisha wapi ofisi za hao jamaa zilipo asa hapa Mwanza au DSM. Nimeamua kuwafuata by face maana simu hawapokei kabisa...Kuna mechi nilibet sita tano zilichezwa na zikatiki moja ya Racing Club na Tigre ilisimamishwa 8/04/2017 lakini jana imechezwa na Racing Club ikashinda 4-1. Mpunga wangu mpaka sasa bado na hii ni mara ya pili nashinda lakini silipwi.
Plz kama kuna mwenye taarifa za ofisi zao Mwanza au DSM naomba kunielekeza niende kudai changu.
Ahsante
 
Jiunge na group la whatsap la betting lenye members zaidi ya watu 130 upate mikeka ya uhakika na ushauri mzuri kuhusu mechi na company za betting. Kujiunga ni bure na ushauri na mikeka yote ni bure. Linki iyo hapo chini.<br /><br /><br /><br />Betting only
 
Ofisi za Gaming bord Limited ziko posta jengo la (J MO) kalibu na ppf House
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…