Muhimu

chriss brown

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2011
Posts
292
Reaction score
63
Unamdanganya msichana wa watu,huna girlfriend,kumbe unae,unamdanganya mvulana wa watu,upo pekeyako,kumbe wapo wengi.Ipo siku woteee watakukimbia,utawatafuta utakuta wameshaoa au kuolewa..Usijesema unagundu..Tulia msichana,wanaume watakufata wenyewe mpaka utaamua kuwa pekeyako na kufanya uchaguz sahihi ya kuolewa na nani,tulia mvulana,wadada watakuja wenyewe.Acha historia safi katika ujana wako.
 
Swala la kuja wenyewe au mungu ataleta halipo, lazima uchakarike kidogo
 
kuwa na mpenzi mmoja yawezekana ila ubaya unakuja pale unapoachwa hafu ukute ukujipanga unaumia mbaya ila ukiiwa na subsitute inapunguza maumivu, ila wanaume siku hizi mna tabia hii mtu anakwambia nina mpenzi lakini wew bado wamng'ang'ania mpaka unakubali kuwa wa pili na kudiriki kumwambia kwamba awapime nani zaidi.
 
maisha nio selection
selection lazima ihusishe moja na mbili na kuendelea
survival for the fitest inahusika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…