Hapo mnatangaza nafasi ya kazi au ya umiss?
.., jamani hapa wandugu kuweni na matangazo ya namna hii. Eti anahitajika anayetoka mikoani!. Mwaka 2010 chama cha vyama wafanyakazi walifanya tathimini ya kimo cha chini cha mshahara ikaonyesha kuwa inatakiwa kulipwa kiasi cha sh 315000, kwa wakati huo, kwa sasa garama zimepanda zaidi, je hicho kiasi ulichokitaja ni sawa mwajiriwa kukidhi mahitaji yake?
hii lodge inatafuta mke au mfanyakazi? I dont get a point jaman. Tumezoea passport size leo anataka kumuona mtu mpaka unyayo. Mmmh! I doubt if this advertiser is serious. Jaribun lakini.
hahaha! Kazi zake ni zipí je aje na mabegi maana anaelekea hatakuwa na off,na utamtambuaje km katoka mkoani?
Laki moja!?kama house girl
hii lodge inatafuta mke au mfanyakazi? I dont get a point jaman. Tumezoea passport size leo anataka kumuona mtu mpaka unyayo. Mmmh! I doubt if this advertiser is serious. Jaribun lakini.