Muhula mpya wa masomo kwa ngazi ya Cheti na Diploma

Muhula mpya wa masomo kwa ngazi ya Cheti na Diploma

DZUDZUKU

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2012
Posts
3,909
Reaction score
2,115
Salam ndugu wana JF,

Naomba kuuliza, hivi application za vyuo kwa ngazi ya diploma na cheti tayari zimeanza au tayari muda wake umeshapita? Kwa mwaka 20/21

Ninamdogo wangu nahitaji nimfanyie usajili kwa wenye uzoefu au taarifa zinazo husu naomba msaada.

Asanteni!
 
Na mdogo wako anapendelea kusomea kozi gani?
 
MAOMBI YA VYUO NGAZI YA CHETI NA DIPLOMA 2020/2021.

Dirisha la maombi ya vyuo ngazi ya cheti na diploma yamefunguliwa rasmi kuanzia tarehe 15 June 2020 hadi tarehe 15 September.

Kwa wewe mwenye uhitaji wa kukamilishiwa application popote ulipo Tanzania, huduma inapatikana na ya uhakika.

Tuna wataalamu na wazoefu watakaokusaidia kukamilisha application yako ndani ya muda mfupi popote ulipo.

Kwa mawasiliano zaidi tuwasiliane whatsapp/sms/simu +255 752026992

Tunapatikana Mbagala, Maeneo ya Sabasaba.
20200616_144952_0000.jpg
 
New Intake October .20/21

Kwa wale wanaotak kuomba vyuo katika dirisha hili lilofunguliwa kuanzia tarehe 15/6/2020 mnaweza kufollow iyo link apo mtapata msaada wa kuwaeleza jinsi ya kuomba vyuo na maswali yoyote yanayohusu vyuo utajibiwa.
WELCOME
 
Back
Top Bottom