Muigizaji/Mchekeshaji Maarufu Nchini Nigeria Afariki Dunia

Muigizaji/Mchekeshaji Maarufu Nchini Nigeria Afariki Dunia

Kivumah

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2008
Posts
2,427
Reaction score
1,054
SAM LOCE EFE (1945 - 2011)

Actor na Comedian maarufu toka Nollywood nchini Nigeria,Sam Loco Efe,amefariki dunia....

Mzee Sam alikua na miaka 66,alifariki dunia akiwa chumbani kwenye hoteli yake iitwayo Rapour Hotel iliyopo pande za Owerri,kwenye jimbo la Imo muda mfupi baada ya kutoka location na alijipatia umaarufu kuanzia mwaka 1968,alipoanzisha Overamwen National Theatre Group Benin, Edo hometown kwake Edo State

source: chini ya carpet blog


 
Rip RIP 2.jpg
 
RIP sam
SAM LOCE EFE (1945 - 2011)

Actor na Comedian maarufu toka Nollywood nchini Nigeria,Sam Loco Efe,amefariki dunia....

Mzee Sam alikua na miaka 66,alifariki dunia akiwa chumbani kwenye hoteli yake iitwayo Rapour Hotel iliyopo pande za Owerri,kwenye jimbo la Imo muda mfupi baada ya kutoka location na alijipatia umaarufu kuanzia mwaka 1968,alipoanzisha Overamwen National Theatre Group Benin, Edo hometown kwake Edo State

source: chini ya carpet blog


 
RIP mkuu... alikuwa ananifurahisha sana hasa kwenye movie moja ame-act na Patience Okonko or somehting huyu mama akiitwa Mama G na huyu jamaa alikuwa retired solder. niliiangalia long time lakini jamaa anafurahisha sana.
 
RIP
Jamaa alikuwa ni mzuri kweli kwa uigizaji huyu daaa!
 
Duuuh nilimpenda sana jamaa huyu lakini mungu kampenda zaidi r.i.p dady
 
Back
Top Bottom