beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Serikali imemkabidhi Bendera ya Taifa muigizaji wa filamu, Yvonne Cherry maarufu kama Monalisa anayetarajia kwenda nchini Ghana kuwania tuzo ya [HASHTAG]#TheAfricanPrestigiousAwards[/HASHTAG] kipengele cha Msanii bora wa kike Afrika
Monalisa ndiye msanii pekee kutoka Tanzania aliyeteuliwa kuwania tuzo hizo zenye heshima kubwa ambazo zitafanyika hivi karibuni huko ACCRA, Ghana.
Tuzo hizo hutolewa kwa kutambua maendeleo na tija aliyonayo mtu kwenye nyanja za uongozi, biashara, sanaa na kadhalika.
Monalisa ndiye msanii pekee kutoka Tanzania aliyeteuliwa kuwania tuzo hizo zenye heshima kubwa ambazo zitafanyika hivi karibuni huko ACCRA, Ghana.
Tuzo hizo hutolewa kwa kutambua maendeleo na tija aliyonayo mtu kwenye nyanja za uongozi, biashara, sanaa na kadhalika.