Muigizaji wa maisha ya mzanzibari Freddie Mercury ashinda Oscar

Hukusema achilia mbali kuandika.Halafu ulivyoandika mimi nikaku-quote na kuandika "Kakosea,mrekebishe"!

Nimemuuliza kwanza ili nijue kama anafahamu au la , pengine alikusudia kuandika kitu chengine, Lakini wewe umechupia au ni msemaji wake?
 
Nimemuuliza kwanza ili nijue kama anafahamu au la , pengine alikusudia kuandika kitu chengine, Lakini wewe umechupia au ni msemaji wake?
Sahihi kuhusu chengine.Halafu sikuchupia na wala si "muandikaji" wake.
 

Hakuwa mzanzibari vipi na mapinduzi ya Zanzibar yametokea yeye akiwa kama raia kamili wa Zanzibar? na alikimbilia ingereza kama wakimbizi wengine waliokimbia?
 
Rami Malek aliua Ile scene ya
Freddie Mercury alipopiga tamasha la live aid pale Wembley stadium,daaa ukicompare unaona kama reality ya Ile show miaka Ile,
Jamaa alistahili Hiyo Tuzo maana aliua Sana Kwenye
Bohemian rhapsody!
 
ukiangalia hio movie vizuri, Freddy ushoga kauanzia huko huko Uengereza, kuna jamaa alimuingiza. lakini mwanzoni Freddy alikua yuko sawa na demu alikua naye, baadae ndio akawa Shoga. kwa hio wakati anaondoka Zanzibar aliondoka na marinda yake.
 
Nakumbuka kabisa siku Zeyana Seif aliyekuwa mtangazaji wa BBC Swahili alipotangaza kifo cha Freddy Mercury. Siku moja kabla ya kifo chake ndiyo alijitangaza rasmi kuwa ana HIV ijapokuwa kulikuwa na maneno ya chini kwa chini mengi wakisema alikuwa muathirika. Na members wa group lake nadhani walimalizika kwa ugonjwa huo.

Enzi zile bado ilikuwa ni kitisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…