Anajulikana kama Babu a.k.a Albino fulani, mzaliwa wa Bongo aishie nchini Marekani. Jamaa alianza game kitambo tu sema mitikasi ya shule ndiyo ilimfanya awe kimya kwa muda wote, lakini toka USA mpaka Bongo kupitia Dar411 jamaa ameitambulisha kwa mara ya kwanza ngoma yake mpya iitwayo "Barua kwa Mama" ambayo ndani yake amemshirikisha Mkali Fulani....
Listen to his new single "Barua kwa mama" and read more about Albino fulani here: Dar411.com - Dar-es-Salaam News and Information Portal
Listen to his new single "Barua kwa mama" and read more about Albino fulani here: Dar411.com - Dar-es-Salaam News and Information Portal