Braza POPO
Member
- Sep 7, 2017
- 39
- 12
hahahahWeka ze pikitule tule kwa macho
Watu kama hawa huwezi wajua mkuu ,ila angekua Hamisa mobeto ushajua mpaka hosptal aliyojifungulia[emoji23]Ndio nani mkuu?
ahahahaWatu kama hawa huwezi wajua mkuu ,ila angekua Hamisa mobeto ushajua mpaka hosptal aliyojifungulia[emoji23]
Mtoa mada kasema ni mwimbaji wainjili akiimba ndani ya kwaya Iyo..mrwanda huyu.