LAPSE RATE
Member
- Oct 18, 2015
- 79
- 98
Kuna tatizo mahali. Siamini kama shida ni kukosekana hiyo 15.Nachokuambia amini mkuu,mgonjwa alikufa kwa kukusa sh 15,000 ya xray
Utakubali kumpoteza nduguyo kisa sh 15 elfu ili khali unayo!?Kuna tatizo mahali. Siamini kama shida ni kukosekana hiyo 15.
Siku hizi watu kama wanazo hawakupi na wakishaona umepiga simu kuomba mchango wanajua baada ya hio 15K huenda zikafuatia nyingine ndogo ndogo hivyo usishangae watu hawapokei simu au wengine wanakulia timing ukipiga tu wanakuwahi na kukupa matatizo yao....Mkuu nahisi ume exaggerate hapo kwenye "15,000" kushindwa kupatikana kwenye ukoo mzima.
Rudia kusoma wenda hujanielewa wala sio kwamba sijui uhalisia wa maisha ila ndugu jaribu kupanua akili kuhusu muda ndipo utanielewa ila nje na hapo utatamani kunipiga mawe tu kwa kitu cha kikaa chini na kupiga mahesababu yasiyohitaji mahesabu ya log!Unaishi dunia ya wapi ?
Unaongelea Laki Tano wakati kuna watu wanakufa kwa kukosa elfu 20 ya dawa ? Usiangalie dunia kwa macho yako au kidogo kwako ukadhani ni kidogo kwa wote...; Tena huenda mwingine anaona bora aende huko atapata chakula kwa ajira ya kufanya kazi nzito huenda angebaki mtaani wangemmaliza na wanaomdai viwanja alivyouza vikarudishwa wangempatia haki yake....
Penda kuangalia the whole equation kwa kujaribu kuvaa viatu vya muhusika kwa wakati huo (utaona kwamba most things people do there is a reason behind)