Muliooa ama Kuwa na Wapenzi wa Kinya-Rwanda

Muliooa ama Kuwa na Wapenzi wa Kinya-Rwanda

JF Member

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
7,914
Reaction score
10,793
Habari vipenzi.

Ninajiandaa kusuruhisha mahusiano ya mdogo wangu aliechumbia mnyarwanda, familia hii imeishia Tanzania tangu 1980.

Hivyo mdogo wangu baada ya kupata mchumba kwenye familia ile na alifurahi kweli.

Mwezi wa kumi na mbili tulienda kujitamburisha rasimi. Na tukiwa na furaha tumepata kifaa kimeenda hewani afu kizuri.

Kama ujuavyo vijana wa siku hizi, hawaoi bila kuonja. Kijana alielewana na mchumbae wakajiiba wakaenda hadi Arusha mbugani huko, ambako walipanga wakae siku Tano.

Sasa buana, baada ya kufika kule Kijana akajikunja akalipa siku Tano.

Picha likaanza, siku ya kwanza wakalala mzungu wa Nne, ya pili pia bila kugusana, ya tatu hivyo hivyo . Akajaribu kuforce akaishia kupigwa kwenzi.

Baada ya hayo akasitisha ikabidi warudi kabla ya mda. Alipofika alanambia hataki kabisa kuendelea na yule mke.

Baada ya kumuuliza zaidi amenambia. Amekaa na huyo mchumba kwa zaidi ya miaka 6 Sasa na hajaonja kitu, ila siku Moja alimtoa out akamforce wakavutana hadi akaingiza kichwa tu Kisha wazungu wakamwagika maana alikuwa na feelings balaa.

Pia Kuna tabia ya kugombana gombana mara kwa mara. Kununiana na siku zote yeye ndio huwa ansjishusha. Akikaa kimya baada ya mda anatafutwa.

Muliooa Hawa wa tusti. Nambieni nifanyeje?

Maana Kijana hataki kuoa hadi binti ajirekebishe ila pia nimeongea na binti yuko tayari kuolewa.

Naamini hapa JF nitapata ushauri mzuri.

Samahi nimeandika huku nasimzia ila natakiwa kesho nikawakarishe kikao.
 
Habari vipenzi.

Ninajiandaa kusuruhisha mahusiano ya mdogo wangu aliechumbia mnyarwanda, familia hii imeishia Tanzania tangu 1980.

Hivyo mdogo wangu baada ya kupata mchumba kwenye familia ile na alifurahi kweli.

Mwezi wa kumi na mbili tulienda kujitamburisha rasimi. Na tukiwa na furaha tumepata kifaa kimeenda hewani afu kizuri.

Kama ujuavyo vijana wa siku hizi, hawaoi bila kuonja. Kijana alielewana na mchumbae wakajiiba wakaenda hadi Arusha mbugani huko, baada ya kufikia huko ambako walipanga wakae siku Tano.

Sasa buana, baada ya kufika kule Kijana akajikunja akalipa siku Tano.

Picha likaanza, siku ya kwanza wakalala mzungu wa Nne, ya pili pia bila kugusana, ya tatu hivyo hivyo . Akajaribu kuforce akaishia kupigwa kwenzi.

Baada ya hayo akasitisha itabidi warudi kabla ya mda. Alipofika alanambia hataki kabisa kuendelea na yule mke.

Baada ya kumuuliza zaidi amenambia. Amekaa na huyo mchumba kwa zaidi ya miaka 6 Sasa na hajaonja kitu, ila siku Moja alimtoa out akamforce wakavutana hadi akaingiza kichwa tu Kisha wazungu wakamwagika .

Muliooa Hawa wa tusti. Nambieni nifanyeje?

Maana Kijana hataki kuoa Hadi binti ajirekebishe ila pia nimeongea na binti yuko tayari kuolewa.

Naamini hapa JF nitapata ushauri mzuri.

Samahi nimeandika huku nasimzia ila natakiwa kesho nikawakarishe kikao.
Amuache. Utaoaje mtu ambae hatak kuliwa? Sasa iyo itakua ndoa ya aina gani
 
Hawa ndo sinasikia wanakauli mbiu yao ya Binamu na Mjomba nyama ya Hamu ili wajazane kwa kuzaliana na wawe wengi Afrika
 
Mbugani ni kuangalia wanyama. Mwambie bwana mdogo aoe kwanza atakula tunda siku ya honey moon
 
Miaka 6 yote kama ni mwanafunzi primary school kamaliza shule, huyo ndugu yako ni zezeta, utapoteza nguvu zako bure kumshauri zezeta.
Kwa mujibu wa maelezo yako naweza kuelewa kilicho jificha, ni kwamba huyo mtutsi anajiona yupo juu, na jamaa yako anajishusha, huyo mwanamke ameshatambua ana mmudu huyo jamaa yako, anajua anapendwa na anajua jamaa yako hachomoki.

Nikushauri tu, jamaa yako ni bonge moja la bwege. Pumbaf sana.
 
Hilo nalo ni ajabu lingine la 8 la duniani.

Watutsi hawa hawa ndio wakukaa nae miaka sita bila kumla kweli??
Huyo nduguyo (au wewe) ni bwege pro Max kwa kweli, muwe mnatembea tembea angalau hapo Kigali kuwafahamu hao watu.
 
Back
Top Bottom