Muliro kuongezewa muda kazini baada ya kustaafu akitenda kosa atashtakiwa kama raia au askari?

Muliro kuongezewa muda kazini baada ya kustaafu akitenda kosa atashtakiwa kama raia au askari?

Desprospero

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
1,015
Reaction score
2,493
Naam waungwana, hebu mnisaidie labda na wengine pia. Kamanda wa Polisi Kanda maalumu ya Dar es salaam Jumanne Muliro alistaafu rasmi mwaka jana. Kwamba siyo askari kiongozi tena. Akaongezwa miaka miwili.

Swali langu. Je, akitoa amri kwa sasa na amri hiyo ikaleta madhara kwa umma au askari walioko kazini atashitakiwa kama raia (Mahakama za kiraia) au ataadhibiwa kama askari? Kumbuka kwa sasa hatumikii pensheni tena maana ilikoma alopostaafu. Nawaza!
 
Bado cheo anacho, yeye ndiye anashikilia ofisi ya RPC, bado ni Askari, si umesema ameongezewa muda? (Kama ni kweli)
 
Kiongozi nchi ya Tanganyika kila kitu kinawezekana Jaji mkuu muda wake ulishakwisha lakini Samia ameona aendelee kula nchi, kifupi ni kwamba huyo jaji yupo tu kama kopo, lakini kwa Bongo bado anaonekana mfanyakazi, yaani katiba hii haina maana hatariiiiiiiiii halafu utasikia anakaa jukwaani vijanaaaaa hamna maadili, wanataka maadili yapi wakati Mzee mzima unakosoa adabu.
 
Kaongezewa muda wa kuendelea, kwa kila kitu alichonacho, cha kujiuliza kuna kifungu cha katiba kimevunjwa, kwa mnaoijua katiba vizuri.
 
Back
Top Bottom