Mulisaa claims that Saudi Arabia is part of UAE

Na wewe si uweke acnt yako ya Insta tuone unavyo piga round hapo Kibera! Hiyo sim card inaeza ikawa vya shemeji yako ambae unaishi kwake.
mbona bongolala kuelewa ni shida hivyo?? hivi unajua maana ya anonymity?? JF is an anonymous forum na kwa hivyo siwezi kuanika picha zangu live hapa. I'm not a nobody and I don't wish to compromise my freedom.
thread iko specifically for mulisaaa aweke proof kuwa Saudi Arabia owns shares in Emirates Airlines which after 4pages bado ameshindwa kuweka.
 
Nani amesema JF ni anonymous forum! Sasa wewe nani atakufuata, kila siku una sifia Uhuruto actually it could work in your favour. U might be noticed and get pulled out of your misery
 
Your thread has Failed πŸ˜€πŸ˜€
Kwani rafiki yako muharisaa amejificha hadaki gani,yaani mtu anaskumwa na hisia kama mwanamke hadi anaanika maisha yake jamii forum πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ watu wasome kwa baba yao Geza Ulole identity yake Watu wengi wameitafuta tangu mwaka wa 2008 bila mafanikio aiseeπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Nani amesema JF ni anonymous forum! Sasa wewe nani atakufuata, kila siku una sifia Uhuruto actually it could work in your favour. U might be noticed and get pulled out of your misery
Ata wewe tuanikie identity yako kama mulisaaaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 

Attachments

Nani amesema JF ni anonymous forum! Sasa wewe nani atakufuata, kila siku una sifia Uhuruto actually it could work in your favour. U might be noticed and get pulled out of your misery
I did not expect you to understand that! the Kenyan forum should have a subscription because kwa hawa bongolala, kuingia hapa na ku comment ni kama kwenda university.
if jf is not an anonymous forum, mbona wewe hautumii jina lako rasmi na pia picha yako??
 
That is my decision ata facebook i can do the same. Ata humu JF wapo wanao tumia real names and pics. So anonymity is ones decision not JF rules.
 
What are you doing here in JF? You lost the bet πŸ˜€
 
He trully is gay.......see how bad he wants your instagram page.πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ No wonder he keeps diarrheaing. No wonder he is Mr. MaharishiπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
View attachment 766036
Ahsante sana mimi nazidi kula raha nchini Tanzania wakati nyie mkipigwa baridi.
Haha haikosi wewe ni tapeli fulani hivi au pengine unatumia watoto wadogo huko Congo kuwafanyisha Gold mining. Niliona documentary inayoonyesha mnavyowatesa watoto kwa hizo mines.Say no to child labour. Let children go to school.
Hatuwatesi wanafanya kazi and we pay them good money. Pia TZ tupo na Gold mines sehemu inaitwa Geita
Haha haikosi wewe ni tapeli fulani hivi au pengine unatumia watoto wadogo huko Congo kuwafanyisha Gold mining. Niliona documentary inayoonyesha mnavyowatesa watoto kwa hizo mines.Say no to child labour. Let children go to school.
No child labour. Wao ndouja kufanya kazi yakuchekecha nakuosha. We pay them well pia. Kazi nyingi ufanywa na watu wenye nguvu and mascular.
 
Usipitishe hiyo migold yako hapa Nairobi. Hatutaki kushugulika na mali ya wizi. Ipitishe hapo JNIA terminal three ambayo inafunguliwa hivi karibuni
The way you sound nikama wewe bado upo mtoto.
 
Alas! Mzee wa kubomolewa Tigo unapokea kichapo left right and centre...Kushoto kulia na kushoto kulia na stop drop πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Kuwa na adabu au unataka Ban nyingineπŸ˜€πŸ˜€ Toka muondolewe malinda imekuwa shidaπŸ˜€πŸ˜€
 
So now mulisaa is your friend?

Stop being gold digger leave that to your sisters? From when he started being your friend?
Basically you insulted me. That's fine i hope you are happy
 
huyu ni courier boy,wazito huwa behind the scenes,side hustle yake ni kukamuliwa mkia na waarabuπŸ˜€
Naona umekuwa mganga kuanza kudadisi maisha yanguπŸ˜€πŸ˜€ Hao waarabu na wazungu they depend on me. Bila mimi hawatengenezi pesaπŸ˜€πŸ˜€
 
Guys lets not do this to Jf. Lets be civil. Live and let live. Iwe mulisaaa iwe Young D we are all East Africans. Tukipatana huko nje we are all on our own. Why all the fuss? We all only live once!
Yeye kaleta jina langu kwenye thread. I wanted to show him who real Finda is
 
Naona umekuwa mganga kuanza kudadisi maisha yanguπŸ˜€πŸ˜€ Hao waarabu na wazungu they depend on me. Bila mimi hawatengenezi pesaπŸ˜€πŸ˜€
waki shoot gay porn videos labda!


issue hii hapa. mbona usitupe evidence??? shareholding ya Saudi Arabia kwa Emirates Airlines ndio tunataka wacha bla bla bla.
 
That is my decision ata facebook i can do the same. Ata humu JF wapo wanao tumia real names and pics. So anonymity is ones decision not JF rules.
Humu JF kuna watu wanatumia real names zao. Even Mulisaa nijina la ukoo wetu. So i just chose though my user name is Finda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…