INAUZWA Multifunctional home gym equipment

INAUZWA Multifunctional home gym equipment

George Betram

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2015
Posts
4,672
Reaction score
6,272
Mashine ya kisasa (Home made) ya kufanyia mazoezi ya viungo inauzwa.
Kupitia mashine hii unaweza kufanya mazoezi ya aina tofauti tofauti.
Mazoezi ambayo unaweza kufanya kwa kutumia mashine hii ni mazoezi yafuatayo:
1) Mazoezi ya kujenga mikono (bicepts na triceps)
2) Mazoezi ya kujenga kifua
3) Mazoezi ya kujenga miguu
4) Mazoezi ya kutengeneza tumbo
5) Mazoezi ya kutengeneza mgongo
Kupitia mashine hii moja unaweza kufanya mazoezi yote yaliyotajwa hapo juu, mashine hii haichukui nafasi kubwa, pia ni imara sana.

IMG-20191024-WA0004.jpg
IMG-20191024-WA0001.jpg



Mashine hii ina uwezo wa kusapoti hadi kilogramu 100.
Mashine hii inapatikana kwa gharama ya shilingi 450000/= za Kitanzania.
Piga simu utaletewa mashine hii mahali popote ulipo (hii ni kwa mkoa wa Dar es Salaam tu)

Kwa Mawasiliano piga:
0692288398
0716418668




 
Jinsi ya kuitumia mashine kufanya zoezi la kutanua mgongo.
 
Jinsi ya kuitumia mashine kufanya zoezi la kujenga miguu.
 
Jinsi ya kuitumia mashine kufanya zoezi la kujenga kifua.
 
Mashine ya kisasa ya kufanyia mazoezi ya viungo inauzwa.
Kupitia mashine hii unaweza kufanya mazoezi ya aina tofauti tofauti.
Mazoezi ambayo unaweza kufanya kwa kutumia mashine hii ni mazoezi yafuatayo:
1) Mazoezi ya kujenga mikono (bicepts na triceps)
2) Mazoezi ya kujenga kifua
3) Mazoezi ya kujenga miguu
4) Mazoezi ya kutengeneza tumbo
5) Mazoezi ya kutengeneza mgongo
Kupitia mashine hii moja unaweza kufanya mazoezi yote yaliyotajwa hapo juu, mashine hii haichukui nafasi kubwa, pia ni imara sana.

View attachment 1243066View attachment 1243069


Mashine hii ina uwezo wa kusapoti hadi kilogramu 100.
Mashine hii inapatikana kwa gharama ya shilingi 450000/= za Kitanzania.
Piga simu utaletewa mashine hii mahali popote ulipo (hii ni kwa mkoa wa Dar es Salaam tu)

Kwa Mawasiliano piga:
0692288398
0716418668
Tetenasi haikuachi na mashine hii
 
Nimeipenda Ila bei imechangamka sana
Mashine ya kisasa ya kufanyia mazoezi ya viungo inauzwa.
Kupitia mashine hii unaweza kufanya mazoezi ya aina tofauti tofauti.
Mazoezi ambayo unaweza kufanya kwa kutumia mashine hii ni mazoezi yafuatayo:
1) Mazoezi ya kujenga mikono (bicepts na triceps)
2) Mazoezi ya kujenga kifua
3) Mazoezi ya kujenga miguu
4) Mazoezi ya kutengeneza tumbo
5) Mazoezi ya kutengeneza mgongo
Kupitia mashine hii moja unaweza kufanya mazoezi yote yaliyotajwa hapo juu, mashine hii haichukui nafasi kubwa, pia ni imara sana.

View attachment 1243066View attachment 1243069


Mashine hii ina uwezo wa kusapoti hadi kilogramu 100.
Mashine hii inapatikana kwa gharama ya shilingi 450000/= za Kitanzania.
Piga simu utaletewa mashine hii mahali popote ulipo (hii ni kwa mkoa wa Dar es Salaam tu)

Kwa Mawasiliano piga:
0692288398
0716418668
 
Jinsi ya kuitumia mashine kufanya zoezi la kujenga mikono.
 
Nzuri sana ila milioni moja parefu sana mkuu...
 
Back
Top Bottom