Mashine ya kisasa (Home made) ya kufanyia mazoezi ya viungo inauzwa.
Kupitia mashine hii unaweza kufanya mazoezi ya aina tofauti tofauti.
Mazoezi ambayo unaweza kufanya kwa kutumia mashine hii ni mazoezi yafuatayo:
1) Mazoezi ya kujenga mikono (bicepts na triceps)
2) Mazoezi ya kujenga kifua
3) Mazoezi ya kujenga miguu
4) Mazoezi ya kutengeneza tumbo
5) Mazoezi ya kutengeneza mgongo
Kupitia mashine hii moja unaweza kufanya mazoezi yote yaliyotajwa hapo juu, mashine hii haichukui nafasi kubwa, pia ni imara sana.
Mashine hii ina uwezo wa kusapoti hadi kilogramu 100.
Mashine hii inapatikana kwa gharama ya shilingi 450000/= za Kitanzania.
Piga simu utaletewa mashine hii mahali popote ulipo (hii ni kwa mkoa wa Dar es Salaam tu)
Mashine ya kisasa ya kufanyia mazoezi ya viungo inauzwa.
Kupitia mashine hii unaweza kufanya mazoezi ya aina tofauti tofauti.
Mazoezi ambayo unaweza kufanya kwa kutumia mashine hii ni mazoezi yafuatayo:
1) Mazoezi ya kujenga mikono (bicepts na triceps)
2) Mazoezi ya kujenga kifua
3) Mazoezi ya kujenga miguu
4) Mazoezi ya kutengeneza tumbo
5) Mazoezi ya kutengeneza mgongo
Kupitia mashine hii moja unaweza kufanya mazoezi yote yaliyotajwa hapo juu, mashine hii haichukui nafasi kubwa, pia ni imara sana.
Mashine hii ina uwezo wa kusapoti hadi kilogramu 100.
Mashine hii inapatikana kwa gharama ya shilingi 450000/= za Kitanzania.
Piga simu utaletewa mashine hii mahali popote ulipo (hii ni kwa mkoa wa Dar es Salaam tu)
Mashine ya kisasa ya kufanyia mazoezi ya viungo inauzwa.
Kupitia mashine hii unaweza kufanya mazoezi ya aina tofauti tofauti.
Mazoezi ambayo unaweza kufanya kwa kutumia mashine hii ni mazoezi yafuatayo:
1) Mazoezi ya kujenga mikono (bicepts na triceps)
2) Mazoezi ya kujenga kifua
3) Mazoezi ya kujenga miguu
4) Mazoezi ya kutengeneza tumbo
5) Mazoezi ya kutengeneza mgongo
Kupitia mashine hii moja unaweza kufanya mazoezi yote yaliyotajwa hapo juu, mashine hii haichukui nafasi kubwa, pia ni imara sana.
Mashine hii ina uwezo wa kusapoti hadi kilogramu 100.
Mashine hii inapatikana kwa gharama ya shilingi 450000/= za Kitanzania.
Piga simu utaletewa mashine hii mahali popote ulipo (hii ni kwa mkoa wa Dar es Salaam tu)