Mulugo awataka wanafunzi kutotembelea JF

TIQO

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2011
Posts
13,786
Reaction score
2,095
Akihojiwa mapema leo na wapo FM kasema ataongoza msako wa wanafunzi wanao miliki simu nakuperezi FB na JF kwani hawaruhusiwi kutumia simu.

 
Ahahahaaaaa Tanzania ni muungano wa tanganyika na visiwa vya ZIMBABWE pumbavu kabisa lile limeona JF panamuumbua kilaza mwizi wa vyeti mkubwa.
 
Hahaha kwa hiyo msako utaendeshwa humu ili wanafunzi wasiperuzi huku?
 
Lol....wÁlimu hamna,maabara hamna,mazingira ya kufundishia mabovu,mishahara midogo!!adili kwanza na hivo sio dealing with perceptions!!Na huyu si ndo anatoa propaganda vikobo vmerudishwa kwan vilifutwa lini?Lol..big mburula

LSent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
aiseeeeeeee.......??????????!!!!
 
Singapore mbona wanafunzi wanapewa website wakajisomee- tutafika lini. Waweke vitu muhimu kwenye mitandao. Pili juzi mtoto wa waziri Fulani alizindua mtandao
 
Kwani kulikuwa na mada gani hata ahojiwa na WAPO FM? Kwa maoni yake, mhh...inaweza kuwa hatari, kwani mshambiliaji anakuwa mkabaji. Huyu mtu anatapatapa tu. Tunahitaji mfumo wa Elimu ufanyiwe mabadiliko makubwa. Natarajia tume ya Pinda itasema hivyo.
 
Huyu jamaa ni kilaza sana. Napata. Aliyemteua hayupo makini
 
Kama hayo maneno kayasema Mulogo sishangai. Yanafanana kabisa na yeye.
 
Hamimu nae anakwama kimawazo sasa

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Ahahahaaaa kumbe jina lake Amimu?ahahahaaaaa mbwa mkubwa mwizi wa vyeti sijui kaibaje uwaziri?loooo!!

Ahahaha.......now I understand why the guy was appointed and why still he z holding the office.....his Name right?amimu ....
 
Sasa ile web ya Mrs. Nyalandu wataionaje wanafunzi???
 
Huyu ni zaidi ya kilaza.na aende akakae nao makwao.mmmxxxxxxiiiiiiiuuuuuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…