Mume anahitajika 36+

Hahahah, nn maana ya kulea?
tehe tehe tehe maana yake huwa inachanganya sana hasa kwa ME wengine hata watoto wao wa kuzaa wanashindwa kuwahudumua 100% sembuse ambao sio wake, as long as atawapenda na kuwakubali muishi nao pamoja hilo ni MUHIMU, kuwahudumia hapo ndio unasikilizia kwa lolote sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…