Masharti utayaweza? Uwe na mvuto.nipigie pande jirani
haha....kuna siku watatuambia tuwe na chura kwa mwendo huu... hichokigezo kimepwayaMasharti utayaweza? Uwe na mvuto.
Nimecheka sana, mleta mada anataka mwanaume mwenye pochi tena awe na mvuto. Tuliwatamani hao mwisho tulikwenda tulipopendwahaha....kuna siku watatuambia tuwe na chura kwa mwendo huu... hichokigezo kimepwaya
haha wacha amchimbechimbe hukopm kama atapatikana wa mvuto namwombea tu asije kukutana na kina kaogeNimecheka sana, mleta mada anataka mwanaume mwenye pochi tena awe na mvuto. Tuliwatamani hao mwisho tulikwenda tulipopendwa
Hahaha jamani ni kweli eti hunauongo wowoteNimecheka sana, mleta mada anataka mwanaume mwenye pochi tena awe na mvuto. Tuliwatamani hao mwisho tulikwenda tulipopendwa
hahah sanaaa...uyo nani uliyemtag?haha
hadi unakera... cc Saint Ivuga
VIPIKWANI MSHATENGANAhahah sanaaa...uyo nani uliyemtag?
daaah apa ndo tunaishiagaa..ngoja nisikitikeNimecheka sana, mleta mada anataka mwanaume mwenye pochi tena awe na mvuto. Tuliwatamani hao mwisho tulikwenda tulipopendwa
mdaa sanVIPIKWANI MSHATENGANA
hahaha... wewesi mtu mzuri utua ndugu yangu kwa kihoromdaa san
hafai hajui nihonga ata jerohahaha... wewesi mtu mzuri utua ndugu yangu kwa kihoro
hahahahahafai hajai nihonga ata jero
hivi mtu unawezaje kujijua kua wewe nimzuri?Mimi ni mgeni hapa JF ila nimekuja kwa nia moja mume.
Nahitaji mtu ambaye yupo serious na maisha.
Ila mimi nampenda mwanaume ambaye anajua anachotaka.
Ajiheshimu sijali umri najali kujua yeye anataka nini.
Mwanaume mwenye mvuto ajue kubembeleza ajichukue kiasi fulani.
Asiependa shida asiwe anaringaringa.
Awe na kazi .
Awe mkristo.
Wasifu wangu mimi ni mzuri najitambua.
Ninakazi
Najua kujali
Ila sihongi.
Nipo serious sana.
Tena uweze kuwatayari kuja huku nilipo.
Please not this even if you want a second wife.
I will be the one.(joking)
But people seriouly i need a man in my life jamani mwenye mvuto. Sio muislamu.
lipiiii???na lile lako pia ujaaliwe
haha
hadi unakera... cc Saint Ivuga
Wewe uko wapi?Mimi ni mgeni hapa JF ila nimekuja kwa nia moja mume.
Nahitaji mtu ambaye yupo serious na maisha.
Ila mimi nampenda mwanaume ambaye anajua anachotaka.
Ajiheshimu sijali umri najali kujua yeye anataka nini.
Mwanaume mwenye mvuto ajue kubembeleza ajichukue kiasi fulani.
Asiependa shida asiwe anaringaringa.
Awe na kazi .
Awe mkristo.
Wasifu wangu mimi ni mzuri najitambua.
Ninakazi
Najua kujali
Ila sihongi.
Nipo serious sana.
Tena uweze kuwatayari kuja huku nilipo.
Please not this even if you want a second wife.
I will be the one.(joking)
But people seriouly i need a man in my life jamani mwenye mvuto. Sio muislamu.