HEHEHE!
hivi valuu ni kama viagra?....
"Mimi nina mume ambaye tumekuwa tunaheshimiana na pale tunapokorofishana tunawekana wazi. Ila naona mume wangu anatake advantage of the situation.kila tunapogombana tunaombana msamaha na kila nikimkanya mume wangu kwa tabia yake mbaya huwa anaomba msamaha na tunakuwa na amani lakini sasa yeye haamini nimemsamehe mpaka apate "chakula cha ndoa".
Yaani hata ukimwambia umemsamehe mpaka apate hiyo kitu ndiyo anaamini nimesamehe.
Tatizo siyo kutoa hiyo kitu lakini ni kwamba atataka mshinde siku nzima mkifanya hayo mambo. Tumeoana tuna miezi sita na bado hatuna watoto so we are free in the house.
Najitahidi kumridhisha lakini mwenzangu anahamu kubwa ambayo nashindwa kukabiliana nayo.
Wakati mwingine mpaka nafanya kukimbia kitandani au najichelewesha kwenda kitandani ili nikute ameshalala maana akianza hiyo kitu ni usiku mzima anataka haniachi nafasi ya kulala usingizi. Nikimueleza anasema atapunguza lakini wapi , mchezo ni uleule.
Sitaki aone nafanya mapenzi kama wajibu tu. Ila mwili pia huchoka na hamu huwa pia inaisha.Yaani mimi nafanywa kila siku na pata likizo siku nikiwa mwezini na hata hivyo nitaulizwa kama period imeisha ana hamu na mimi.
Naogopa nikisafiri sijui atafanya na nani maana bila hiyo kitu mume wangu atanifanyia vurugu za kila aina mpaka apate halafu atatulia kama vile si yeye.
Mlioolewa/kuoa mnafanya nini kukabiliana na hali hii inapotokea ? naomba ushauri"
Yeah ukinywa kidogo inakuongezea nguvu ya kukimbia mbio ndefu sio fupi ni mbio ndefu hata akina mama nao inawasaidia sana hukuona jana Agness alibeba kichupa kizima alikuwa na gemu taffu mzee.
Tatizo siyo kutoa hiyo kitu lakini ni kwamba atataka mshinde siku nzima mkifanya hayo mambo. Tumeoana tuna miezi sita na bado hatuna watoto so we are free in the house.
Najitahidi kumridhisha lakini mwenzangu anahamu kubwa ambayo nashindwa kukabiliana nayo.
Source: harusiyangu.com
teheteeh ... yaani unakuwa ni muhogo wa jang'ombe kaka, haudondoki! Kuna rafiki yangu aliulizwa ... weeh umekunywa nini leo?? mbona hutosheki?? π ... hiyo kitu pamoja na mzaramo (konyagi) ... ni balaa tupu!!
MDBD
HEHEHE!niliikuwa nimeshalewa pale!Yeah ukinywa kidogo inakuongezea nguvu ya kukimbia mbio ndefu sio fupi ni mbio ndefu hata akina mama nao inawasaidia sana hukuona jana Agness alibeba kichupa kizima alikuwa na gemu taffu mzee.
Hahahaha kweli mkuu wanaobisha waache waendelee kubisha lakini ukweli ndo huo mtu anakimbia mbio ndefu sio fupi mwanzo mwisho jamaa hachoki.
basi napata mashaka mme wa huyu dada labda anakunywa mavaluuu.
Hakuna sababu ya kuweka mpira kwapani. Huyo dada arudi kwenye KP wampatie mbinu za kumtoa jamaa ulimi nje. She must be missing something in terms of expertise. Haiwezekani mwanamume aliyeshughulishwa vizuri akeshe! Si ajabu jamaa anaachwa asome gazeti kwa wakati wake na kivyake vyake. Kwa mwendo huo halisomeki na lazima atakesha. Huyo dada achukulie hilo suala kama zawadi ya nguvu na alitumie vizuri. Jamaa takuwa anaomba ruhusa haraka au anawahi foleni ili amwone mrembo wake. She must be very lucky although she is unknowingly sitting on Gold on Diamond like poor Tanzanians.
Kama anakunywa valuu ni mpuuzi. Hivyo vitu wananywewa vyangu doa au wake za watu kama alivyofanya MC Lema! Huwezi kunywa pombe au viagra kumkomoa my wife wako. Halafu eti wana miezi 6. Baada ya miaka 16 itakuwaje???π
Hakuna sababu ya kuweka mpira kwapani. Huyo dada arudi kwenye KP wampatie mbinu za kumtoa jamaa ulimi nje. She must be missing something in terms of expertise. Haiwezekani mwanamume aliyeshughulishwa vizuri akeshe! Si ajabu jamaa anaachwa asome gazeti kwa wakati wake na kivyake vyake. Kwa mwendo huo halisomeki na lazima atakesha. Huyo dada achukulie hilo suala kama zawadi ya nguvu na alitumie vizuri. Jamaa takuwa anaomba ruhusa haraka au anawahi foleni ili amwone mrembo wake. She must be very lucky although she is unknowingly sitting on Gold on Diamond like poor Tanzanians.
Mzee umekula thanks kwa mapoint uliyomwaga hapa. Hakika wewe una PHD ya hii kitu. Umeconclude tayari sina cha kuongeza hapa.
ooookeeey!!! endelea.....ehee!!Kama anakunywa valuu ni mpuuzi. Hivyo vitu wananywewa vyangu doa au wake za watu kama alivyofanya MC Lema! Huwezi kunywa pombe au viagra kumkomoa my wife wako. Halafu eti wana miezi 6. Baada ya miaka 16 itakuwaje???π
Mwacheni amfukuze mdudu wake...ndipo atakapoona dunia chungu au tamu. Mwambieni ale kabichi na bamia kwa sana apate atelezi mzuri na majimaji mengi kwenye "K". Ache kulalama hapa bure...au tuje kukusaidia mummy...we miss ze good duduz!.